Na mzee wa karate, imamu wa msikiti wa mwembechai sheikh Omary Bashir RIP
Mwinyi alikuwa akiongozwa na Bi Mdogo na Kitwana Kondo. Hii ilitokea kwa sababu baada Kitwana Kondo kusuka kuondolewa Warioba kwa kupitia Bi Mdogo. Kitwana Kondo na Warioba walikuwa hawapikwi chungu kimoja. Baada ya hapo Warioba aliondolewa uwaziri mkuu. Kitwana Kondo alienda mbali mpaka kwenye uchaguzi na kumshawishi aliyesimama pamoja na Warioba kwenye uchaguzi akate rufaa. Hiyo rufaa ililipiwa na Kitwana Kondo, nia ikiwa Warioba apotee kwenye wingo wa siasa.Nadhani story za Mwinyi hazipo sana an
Jamaa aliwafanyia kikatili sanaaa
Nin kilikuwa chanzo cha kuvunja baraza la mawaziri?
Na watu ndipo walipoelewa kuwa biblia ina mafundisho ya mahari ya g..iKweli alikuwa ni Prof KA Malima, kipindi yale makundi yameshamiri. Ile hali haikuwa nzuri maana uhasama ulikuwa juu Sana
Asije Tena akaotokea kiongozi kuruhusu hali ile, lilikuwa si Jambo la busara kutukana waumini toka asubuhi Hadi jioni pale mnazi mmoja.
Kama aliongozwa "...na Bi Mdogo na Kitwana Kondo" kama unavyotaka kutuaminisha basi, walimuongoza vizuri sana kwani walitutoa kwenye lindi la njaa na umasikini wakatuingiza kwenye neema kwa muda mfupi sana. Ikawa ruksa, ruksa, ruksa.Mwinyi alikuwa akiongozwa na Bi Mdogo na Kitwana Kondo. Hii ilitokea kwa sababu baada Kitwana Kondo kusuka kuondolewa Warioba kwa kupitia Bi Mdogo. Kitwana Kondo na Warioba walikuwa hawapikwi chungu kimoja. Baada ya hapo Warioba aliondolewa uwaziri mkuu. Kitwana Kondo alienda mbali mpaka kwenye uchaguzi na kumshawishi aliyesimama pamoja na Warioba kwenye uchaguzi akate rufaa. Hiyo rufaa ililipiwa na Kitwana Kondo, nia ikiwa Warioba apotee kwenye wingo wa siasa.
Kumbe tulikuwa hatariniKweli alikuwa ni Prof KA Malima, kipindi yale makundi yameshamiri. Ile hali haikuwa nzuri maana uhasama ulikuwa juu Sana
Asije Tena akaotokea kiongozi kuruhusu hali ile, lilikuwa si Jambo la busara kutukana waumini toka asubuhi Hadi jioni pale mnazi mmoja.
Kumbe figisu zilianza kitamboMwinyi alikuwa akiongozwa na Bi Mdogo na Kitwana Kondo. Hii ilitokea kwa sababu baada Kitwana Kondo kusuka kuondolewa Warioba kwa kupitia Bi Mdogo. Kitwana Kondo na Warioba walikuwa hawapikwi chungu kimoja. Baada ya hapo Warioba aliondolewa uwaziri mkuu. Kitwana Kondo alienda mbali mpaka kwenye uchaguzi na kumshawishi aliyesimama pamoja na Warioba kwenye uchaguzi akate rufaa. Hiyo rufaa ililipiwa na Kitwana Kondo, nia ikiwa Warioba apotee kwenye wingo wa siasa.
Inatajwa kuwa miaka ya 1980s kuelekea 90s Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alivunja Baraza lake la mawaziri.
- Nini kilimfanya alivunje baraza hilo
- Inasemekana kuna waziri mmoja alimfuata Mzee Mwinyi in person kumuuliza kama na yeye (huyo waziri) anahusika (inasemekana alimuuliza "Mzee na mimi?") Mzee akamjibu, kama wewe ni Waziri basi tangazo linakuhusu.
Nimejibiwa na waungwana kitambo