Nani alimshauri Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa Taifa Stars muda mchache kabla kwenda uwanjani?

Nani alimshauri Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa Taifa Stars muda mchache kabla kwenda uwanjani?

Sidhani mimi naona aliwaongezea ari wacheza tulifungwa kimbinu na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wa timu ya Morocco kumbukeni pia mbinu ya kujidondosha dondosha mara kwa mara ya wachezaji wa Morocco
kwanza unazani atujui bob tunajua sana ila acha tuongee kwanza
 
Mkiambiwa mkae mbali na mambo ya kitaalamu na msiwe na viherehere hamsikii tu.

Kisaikolojia alichokifanya jana Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa timu ya Taifa Stars muda mfupi kabla ya kwenda uwanjani hakikutakiwa na alikosea kwani kilichangia kuharibu maelekezo ya kiufundi ya kocha na akilini mwao wakawa wanawaza kumfurahisha Rais badala ya kuufikiria zaidi mchezo husika.

Endeleeni tu kuhusianisha timu ya taifa stars na Chama cha Mapinduzi na Serikali badala ya kuiacha iwe na sura halisi ya watanzania wote ili ipate baraka zao na siyo ichukiwe kama inavyochukiwa sasa na watu wasiopenda unafiki cognizant nikiwa ni miongoni mwao.

Haya mwambieni na tarehe 21 taifa stars ikicheza na Zambia muda mchache kabla hawajaenda uwanjani awapigie tena simu wachezaji wa taifa stars huku akiviita vyombo vya habari vimpige picha akiwa kaketi katika sofa lake akiongea nao sawa?

Kila la kheri Chipolopolo (Zambia) na Leopard (Congo DR) katika mechi zenu zijazo ambazo mtacheza na Taifa Stars (Tanzania) na cognizant nawaombeni mtufunge ili tutoke haraka na turejee ili ligi kuu yetu iweze kuendelea
Itakuwa Mwijaku, Makonda na Baba Levo ndio walimshauri huyo Mama apige simu.

Vinginevyo itakuwa ni ushauri wa Waziri wa Michezo na Katibu wake wa Wizara Ndg Msigwa G.

Adui Ujinga anatamba sana TANZANIA...
 
Yan apige, au asipige hata wangepewa maokoto ila tusingeshinda jmn hv mnashindwa kujua kuwa hatuna quality players na why kweny betting zenu mlimpa Morocco? Hakuna kiumbe kilibet kikampa Tanzania [emoji1241] kwhyo acheni unafiki
 
Mkiambiwa mkae mbali na mambo ya kitaalamu na msiwe na viherehere hamsikii tu.

Kisaikolojia alichokifanya jana Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa timu ya Taifa Stars muda mfupi kabla ya kwenda uwanjani hakikutakiwa na alikosea kwani kilichangia kuharibu maelekezo ya kiufundi ya kocha na akilini mwao wakawa wanawaza kumfurahisha Rais badala ya kuufikiria zaidi mchezo husika.

Endeleeni tu kuhusianisha timu ya taifa stars na Chama cha Mapinduzi na Serikali badala ya kuiacha iwe na sura halisi ya watanzania wote ili ipate baraka zao na siyo ichukiwe kama inavyochukiwa sasa na watu wasiopenda unafiki cognizant nikiwa ni miongoni mwao.

Haya mwambieni na tarehe 21 taifa stars ikicheza na Zambia muda mchache kabla hawajaenda uwanjani awapigie tena simu wachezaji wa taifa stars huku akiviita vyombo vya habari vimpige picha akiwa kaketi katika sofa lake akiongea nao sawa?

Kila la kheri Chipolopolo (Zambia) na Leopard (Congo DR) katika mechi zenu zijazo ambazo mtacheza na Taifa Stars (Tanzania) na cognizant nawaombeni mtufunge ili tutoke haraka na turejee ili ligi kuu yetu iweze kuendelea
Atakuwa yule andunje aliyewachosha wachezaji kuongea nao zaidi ya masaa 2,ovyo sana
 
Rais anachangia sana kuharibu mpira katika nchi hii. Anatafuta ujiko kwenye michezo hasa soka baada ya kushindwa kupambana na hali mbaya inayowakabili wananchi wake kiuchumi.

Tanzania tungekuwa na uchaguzi wa maana huyu angepelekwa nyumbani alfajiri na mapema kwa sababu she isn't a presidential material but she is just a beneficiary of the flawed elections.
 
Rais anachangia sana kuharibu mpira katika nchi hii. Anatafuta ujiko kwenye michezo hasa soka baada ya kushindwa kupambana na hali mbaya inayowakabili wananchi wake kiuchumi.

Tanzania tungekuwa na uchaguzi wa maana huyu angepelekwa nyumbani alfajiri na mapema kwa sababu she isn't a presidential material but she is just a beneficiary of the flawed elections.
Ana gundu
 
Back
Top Bottom