Nani alimtangaza Majaliwa kuwa shujaa wa ajali ya ndege Bukoba?

Nani alimtangaza Majaliwa kuwa shujaa wa ajali ya ndege Bukoba?

Huyo bwana Victor ni mtu mwenye wivu kupindukia, anataka cheap popularity, kimsingi hili jina la majaliwa ndo problem hapa.
 
Wadau wenye akili kubwa tulimjua shujaa wa ajali ya ndege iliyoua abiria 19 kuwa ni abiria aiitwaye Victor na mfanyakazi wa ndege walioshirikiana kuufungua mlango wa ndege kwa ndani na huyo Bw.Victor ndiye aliyesimama mlangoni kuwavusha abiria kuingia kwenye mtumbwi. Pia huyo huyo Bw. Victor ndiye aliyemtuma majaliwa kuangalia begi lake.

Je, ni nani aliyemtangaza kijana Majaliwa kuwa shujaa na kwa vigezo gani?
Mi nahisi atakuwa huyo huyo bwana Victor ndio aliyemtangaza Majaliwa kuwa shujaa au wee unaonaje?

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom