Tafuta documentary ya mohamed ali wa jicho pevu utamjuaWadau naomba kujua iwapo Luna MTU anajua historia .ya Robert Auko Alikuwa Waziri wa mambo nje wa kenya.Huyu aliuawa wakati wa utawala wa Rais Moi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta documentary ya mohamed ali wa jicho pevu utamjuaWadau naomba kujua iwapo Luna MTU anajua historia .ya Robert Auko Alikuwa Waziri wa mambo nje wa kenya.Huyu aliuawa wakati wa utawala wa Rais Moi
Kwaiyo saa wana usalama awakustukia?Huyo bwana alienda ziara ya kikazi na Moi huko nchi za watu, then akatokea kuwa mahiri sana kujibu maswali ambayo hata rais(boss) wake aliyashindwa kutoka kwa waandishi wa habari.. Umahiri huo uliwavutia sana waandishi kiasi kwamba muandishi mmoja haijulikani aliuliza kiuchokozi au hakujua kweli, lakini aliuliza "kati yenu Rais ni yupi?"Auko akajibu kwa haraka akumtambulisha boss wake kwa waandishi kuwa "huyu ndie rais mimi ni waziri tuu". Kama ilivyo kwa wenzetu huwa hawawezi kujivunga au kumezea, yule mwandishi akasisitiza palepale, kwa kusema, "basi wewe ndie ungefaa kuwa rais kwa kuwa unafahamu mambo mengi"... Jambo hilo lilizua chuki kubwa sana kwa ya rais Moi, na hata akaondoka kurudi kenya bila waziri wake na wakati walikuja wote. So, yeye alitangulia nyumbani na akiwa njiani akamtumia ujumbe waziri wake akimwambia, "ubaki hukohuko kwa hao wapumbavu wenzako wanaokutaka uwe rais"... Hata hivyo ndugu Auko aliamua kurudi tu nyumbani pamoja na onyo hilo. Siku tu aliyofika, jioni wnausalama walifika nyumabani kwake na wakamuomba kuwa wana mazungumzo nae ya faragha, bwana Auko aliingia chumbani mwake na kumuita mkewe akamueleza yote kwa haraka na kumuaga mke wake kwani alihisi kuwa asingerudi salama nyumbani kwake. Hata hivyo bwana Auko alivaa saa maalumu ambayo iliweza kurekodi matukio yoooye ambayo alifanyiwa na wana usalama hao. Saa ile aliifahamu mke wake tuu, hivyo baada ya tukio la mauaji ambayo hayakufanyikai mbali na kwake bali ni nyuma ya nyumba kwenye shamba lake, mwili ulivyookotwa, ukweli ulijulikana baada ya saa ile kupelekwa na mama yule kwa rafiki wa karibu wa mume wakee.
Fuatilia hapa unaweza elewa kila kitu sasaWadau naomba kujua iwapo Luna MTU anajua historia .ya Robert Auko Alikuwa Waziri wa mambo nje wa kenya.Huyu aliuawa wakati wa utawala wa Rais Moi
lAiyekabidhiwa saa na wengine wengi walikufaa bila ukweli huo kuwa bayana...mkuu story haijaisha saa ilisema nini?
wanadai saa ilikuwa ya kisasa zaidi ya ujuzi wa makachero hao.. hawakuwa wajuvi wa hilo bado..Kwaiyo saa wana usalama awakustukia?
Mwishoni kesi ilihishiaje?W
wanadai saa ilikuwa ya kisasa zaidi ya ujuzi wa makachero hao.. hawakuwa wajuvi wa hilo bado..
roho mbaya sana miafrika minyama kweli kasoro mieA
lAiyekabidhiwa saa na wengine wengi walikufaa bila ukweli huo kuwa bayana...
Hata mie miss chaggaroho mbaya sana miafrika minyama kweli kasoro mie
A
lAiyekabidhiwa saa na wengine wengi walikufaa bila ukweli huo kuwa bayana...
ndiyo mkuu ila pesa yako nzuri ha ahaHata mie miss chagga
Ushahidi wa mazingira ulionyesha, umeonyesha muuaji ni nani but nani wa kumfunga paka kengeleee!? so mpaka leo hakuna aliyewajibishwa kwa mauaji ya AukoMwishoni kesi ilihishiaje?
Ziada ya ukweli huu, Robert Ouko alikuwa mwanasiasa aliyependwa sana na jamii ya wa LUO toka Nyanza region na walikuwa wanamuita TOURCH wakimaanisha alikuwa kurunzi ya kuwaangazia njia hivyo hali hii ilimfanya kuwa tishio kwa himaya ya Raisi Moi na hivyo palikuwa na chuki dhidi yake.Huyo bwana alienda ziara ya kikazi na Moi huko nchi za watu, then akatokea kuwa mahiri sana kujibu maswali ambayo hata rais(boss) wake aliyashindwa kutoka kwa waandishi wa habari.. Umahiri huo uliwavutia sana waandishi kiasi kwamba muandishi mmoja haijulikani aliuliza kiuchokozi au hakujua kweli, lakini aliuliza "kati yenu Rais ni yupi?"Auko akajibu kwa haraka akumtambulisha boss wake kwa waandishi kuwa "huyu ndie rais mimi ni waziri tuu". Kama ilivyo kwa wenzetu huwa hawawezi kujivunga au kumezea, yule mwandishi akasisitiza palepale, kwa kusema, "basi wewe ndie ungefaa kuwa rais kwa kuwa unafahamu mambo mengi"... Jambo hilo lilizua chuki kubwa sana kwa ya rais Moi, na hata akaondoka kurudi kenya bila waziri wake na wakati walikuja wote. So, yeye alitangulia nyumbani na akiwa njiani akamtumia ujumbe waziri wake akimwambia, "ubaki hukohuko kwa hao wapumbavu wenzako wanaokutaka uwe rais"... Hata hivyo ndugu Auko aliamua kurudi tu nyumbani pamoja na onyo hilo. Siku tu aliyofika, jioni wnausalama walifika nyumabani kwake na wakamuomba kuwa wana mazungumzo nae ya faragha, bwana Auko aliingia chumbani mwake na kumuita mkewe akamueleza yote kwa haraka na kumuaga mke wake kwani alihisi kuwa asingerudi salama nyumbani kwake. Hata hivyo bwana Auko alivaa saa maalumu ambayo iliweza kurekodi matukio yoooye ambayo alifanyiwa na wana usalama hao. Saa ile aliifahamu mke wake tuu, hivyo baada ya tukio la mauaji ambayo hayakufanyikai mbali na kwake bali ni nyuma ya nyumba kwenye shamba lake, mwili ulivyookotwa, ukweli ulijulikana baada ya saa ile kupelekwa na mama yule kwa rafiki wa karibu wa mume wakee.
Dah!! Huruma sanaUshahidi wa mazingira ulionyesha, umeonyesha muuaji ni nani but nani wa kumfunga paka kengeleee!? so mpaka leo hakuna aliyewajibishwa kwa mauaji ya Auko
Wadau naomba kujua iwapo Luna MTU anajua historia .ya Robert Auko Alikuwa Waziri wa mambo nje wa kenya.Huyu aliuawa wakati wa utawala wa Rais Moi
Ziada ya ukweli huu, Robert Ouko alikuwa mwanasiasa aliyependwa sana na jamii ya wa LUO toka Nyanza region na walikuwa wanamuita TOURCH wakimaanisha alikuwa kurunzi ya kuwaangazia njia hivyo hali hii ilimfanya kuwa tishio kwa himaya ya Raisi Moi na hivyo palikuwa na chuki dhidi yake.