Oh Boy!!!
yule dada nnavyomfeel, roho imeniuma utadhani mke wangu...... Nitampataje na mimi nimkule jamani?
una hela mduwanzi wewe?
nimesoma vizuri na kuelewa ila hawakumtendea haki,eti tuone kama ameokoka kweli wao nani aliwapima?na je kwa nini pendo nkone anajichubua?japo alishawai kulijibia hilo eti mungu alisema mwanamke ujipambe ivi ndo mtu ujichubue?kuhusu mziki kuugeuza biashara ni kweli tena ni zaidi ya mziki wa kidunia.je tutafika?
japo kuna mtu kanijibia ila mimi sikuwa huko ni kwamba mama huyo hutoza pesa kubwa sana pindi mwanamziki mchanga akimuomba kushiriki uzinduzi wa nyimbo yake na hata kama ukimbembeleza yeyehushikilia msimamo huohuo kwa mana ya kwamba bwana alisema kale kwa mikono yako,so yupo kibiashara zaidi,nyingine hujiona yupo juu sana,mfano kuna askari mmoja ambaye ni rafiki wa familia aliwai kumkamata kwa makosa madogo ya barabarani akiwa na gali yake,akamjibu wewe askari unamjua unayeongea nae kwanza?askari akamjibu kwamba yeye yupo kazini mambo ya kujuana atamjulia kituoni.nyingine.....kwenye usiku wa matumaini uwanja wa taifa mwaka jana alikacha kuimba uwanjani na kuondoka licha ya gharama alizopewa na waandaajikisa eti kwa nini amewekwa na wasanii wa bongo fleva?amesahau hata hao wasanii ndo wanunuzi wa nyimbo zake na kwa mungu hakuna ubaguzi...ni mengi nimechoka kwa sasa....nampenda ila kwa hayo mambo yake kidogokidogo naanza kumsahau.....tujuze hiyo ya kwenye red
duuu!iyo nayo kali!lisemwalo........
Christina Shusho watu wanajigongea tu huyo. Hajui kukataa dada wa watu.
Aondoe maunene yake hapa, akapunguze mwili kwanza ndo aje ubongo wa fuleva. Manyama uzembe co dili
I know Shusho very well lakini MUNGU ndiye hakimu.
Ni kitambo kidogo tokea mwanamama huyu alipohama fani ya bongo fleva kwenda muziki wa injili na sasa kurudi tena bongo fleva,kitu ambacho sikumwelewa ni pale kwenye kipindi cha leo tena-clouds wiki iliyopitakudai kwamba ameamua kurudi tena bongo fleva ili kujitafutia riziki,kwani mara ya kwnza alipokuwa anaenda kule gospel lidhani yale maneno ya kula madhabahuni yanawahusu hata waimbaji kumbe ni wachungaji hata alipoambiwa kwamba mbona kuna wengi waliofanikiwa kwenye injili bado alidai eti hakuna maslahi yale aliyotegemea na kule hakuna mshikamano kati ya waimbaji akimaanisha wale walio juu,sasa ambacho mimi sikumwelewaje aliokoka au alifuata maslahi?au mi ndo sikumuelewa?mana bado anadai japo karudi bonbo fleva eti ila bado kaokoka!
una hela mduwanzi wewe?
Christina Shusho watu wanajigongea tu huyo. Hajui kukataa dada wa watu.