Akikujibu nitag mkuuUlikuwa unamaanisha nani kamuiga mwenzake?
Jino kwa jinoMi nataka tu kujua! hayo majambia kwenye hizo kanzu yana maanisha nini?
Kwani ninyi hamuigi tamaduni za kigeni kwenye harusi zenu? Mbona mna chuki msizojitahidi kuzificha!!!Huku kuiga tamaduni za wageni bana!!! Zinaboaaa! Kwa nini hawakuvaa ki-Leka dutigite?