Nani alipendeza zaidi?

Nani alipendeza zaidi?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Kiba Vs Mond ( Kanzu na Panga )
IMG_20180427_175454_308.jpg

IMG_20180427_175422_045.jpg
 
Hapo huwez kutofautisha sababu mmoja alivaa vazi la cku maalumu ambayo haiwez jirudia na ikijirudia huwa haina mbwembwe na mwingine alivaa kama mshenga tu ...ingekua mond nae alioa ndo ingekua pia kujua aliependeza .
 
Mi nataka tu kujua! hayo majambia kwenye hizo kanzu yana maanisha nini?
 
Huku kuiga tamaduni za wageni bana!!! Zinaboaaa! Kwa nini hawakuvaa ki-Leka dutigite?
 
Back
Top Bottom