Nani alisema masanamu ya Michelin hatu enjoy life?

Tufanye nini wakati wanaume wanatuacha nyumbani, mfariji wetu ni JF.

Hapo si unaona tumetoka wenyewe wanaume wanajitolea ku baby sit 😂
Akiwa mmoja sawa , wote hawa? Very intimidating , nagopa kuangukiwa
 
Starehe yetu wengi ni chakula, tukisha pika na kula tuna watch tamthilia [emoji23]
[emoji106][emoji106][emoji106]Ndio maana huwezi kusikia ugomvi familia ambayo mama ni mnene kama hao hapo.
Alafu mnakuwaga na amani sana, tena lifestyle yenu kila mwanaume anatamani mkewe awe nayo
 
Wacha wa-enjoy, ila wapige tiz kidogo! Duh...Ila wanatisha aise...
 
Dah...tukiweka unafki pembeni...ili kiumbe alike kwa wepesi na Uhuru zaidi....max ni 60kg [emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…