Kuna Mmoja nilipiga nikamuacha visa vyake sasa....Siku moja akatoroka lindo akanojia na machine ananiambia kwa nini unaniacha???? Nakumiminia karanga sasa..Niliomba msamaha..Pona yangu ilikua ni kuhama mkoa..Naskia kuna jamaa Mkurya kamuoa na sasa wana Mtoto!!Katika mazingira gani?
Mi nilipataga trafiki mmoja Kibaha pale Maili moja. Alinikamata kwenye ile zebra crossing. Nikalipa faini kiroho safi halafu nikampa business card yangu. Ndiyo ikawa hivyo.
Mbona Wao wanatugongea mademu zetu mtaani afu sisi tumetulia tu...We endeleza gemu mpaka washike adabuMpelelezi tena quoters kwake. Baada ya muda ikawa kila Jumapili yakawa mazoea nashinda naye home kwake then jioni ananisindikiza tunagonga bieri anarudi home kwake. Wenzake walianza kuni-mind kinoma eti nawadharau kwamba kambi nzima hakuna kidume hadi namfuata mwenzao na kumchapia makazini kwao.
Afande mambo?
Ma afande wengi wanakuwaga hawajatulia
CC Zero IQ
Hatar fire Mzee g,h.f auNilkula dem wp wa rpc wa kilimanjaro ambaye huyo rpc sasa ame rip ( dokta ,,,,,,,,,,,,,,,,)
alinimaindi sana,akanitishia kunifukuza kazi,ilibidi nimpe posho nzima kamanda.
Ila lile toto lilikua tamu,matoto ya kinyiramba meupeee,chura kama wote mamaeeee
cha ajabu yule wp kwa sasa yupo makao,tena ana kisoda kimoja..
Ndio mkuuWanatakiwa watulie kama wewe apo mzee baba![emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe afande sema uligongewaPoor u
Unankumbusha nina mshikaj wangu mmoja aliwah kuwa na dem km huyo akawa wakat wa kupiga vyombo anamwambia asivue uniform agegede nazo[emoji23]
Una gariii??????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama unalo hujaamua tuu ukiwa na bussiness card imeishaa hiyoooNawataka kichizi hawa trafiki ila sina zali nao tena nikiwapata nitakuwa nawapiga nao sn tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana katika ubora wakeAfande kitu gani mimi mgambo tena yule analinda mochwari... Halafu kiliwakia kwenye kile kitanda cha kuchunguzia maiti [emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Hawakosekaniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wapo umu wanasoma comment wakitabasamu jinsi raia wema wanavyo tililika juu yao.