Nani alishagonga afande humu?

Nani alishagonga afande humu?

Tatizo la mleta uzi na wachangiji wengi ni kudhani ukigonga afande basi umegonga sare, magwanda, jeshi zima mpaka kiongozi wao.

Wrong Mentality. Yule ni BintAdam tu kama wengine.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaitwa fantasy kama vile wapo wanaitamani kutembea na watawa, wanafunzi, wake za watu, wageni, n.k.
 
Hii inaitwa fantasy kama vile wapo wanaitamani kutembea na watawa, wanafunzi, wake za watu, wageni, n.k.
Ongezea parking girls, supermarket girls, bank tellers na wale agents wa marketing. Raha iko pale kwenye transformation from a strictly business encounter to a romantic one. Na kila moja ni unique, so you will always want to meet a new one!
 
Kuna Mmoja nilipiga nikamuacha visa vyake sasa....Siku moja akatoroka lindo akanojia na machine ananiambia kwa nini unaniacha???? Nakumiminia karanga sasa..Niliomba msamaha..Pona yangu ilikua ni kuhama mkoa..Naskia kuna jamaa Mkurya kamuoa na sasa wana Mtoto!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!duh.
 
Wote mriochangia mada hii niwakute central kesho asubuhi mtoe maerezo mritoa wapi mamraka ya kuchezea crown za majeshi yetu.....
 
Afande kitu gani mimi mgambo tena yule analinda mochwari... Halafu kiliwakia kwenye kile kitanda cha kuchunguzia maiti [emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Mgambo? Sasa Mimi nilikiwasha na sungusungu tena wa bushi huko .nilikuwa najizurulia zangu polini nikawakuta nikajibebea mmoja
 
Back
Top Bottom