Nani alistahili kushinda Mchezaji Bora wa Kiume Ballon d'or 2024?

Nani alistahili kushinda Mchezaji Bora wa Kiume Ballon d'or 2024?

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Wakuu,

Tuzo za Ballon d’Or 2024 zimejumuisha vipaji bora vya soka duniani, na tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume imeenda kwa Rodri (27) wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania.

Ushindi huu ni wa kihistoria kwa Rodri, ambaye amekuwa na msimu wa kipekee, akichangia mafanikio makubwa kwa klabu yake, ikiwemo kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya, Ligi Kuu ya Uingereza, na Kombe la FA.

Akiwa kiungo muhimu mwenye uwezo wa kudhibiti mchezo, Rodri ameonesha ustadi mkubwa katika kutoa pasi na kudhibiti ulinzi, jambo lililomfanya kuwa mchezaji muhimu kwa timu yake.

Ushindi wa Rodri umetafsiriwa kama ushindi wa wachezaji wa nafasi za kati ambao mara nyingi hupuuzwa kwenye tuzo kubwa kama hizi.

Hata hivyo ushindi wa Rodri umekosolewa na baadhi ya watu waliodai kuwa tuzo hiyo alistahili Vinicius ambaye amekuwa akilalamikia ubaguzi wa rangi au Haaland

Unadhani nani alistahili ushindi huo?
 
Kuna clip inaonyesha utovu wa nidhamu wa huyu Vin jr, adabu hana na ni mkorofi sana uwanjani anapenda kupigana, matusi na kejeli kwa mashabiki wa timu pinzani. Hizo zinaweza kuwa ni moja ya sababu zilizo muangusha.

Nakumbuka wakati anaanza kucheza Madrid alimletea hizo tabia Karim Benzema, wakakafunza adabu k
akakaa sawa na akashine mnooo, sasa Karim kaondoka naona amerudia ujinga wake dhidi ya Mbappe ili aonekane ndio prince wa Bernabeu na kusahau kuwa kuna magwiji walipita pale na kufanya makubwa zaidi yake ambayo ndiyo yanamfanya aonekane kuichezea team kubwa
 
Kuna clip inaonyesha utovu wa nidhamu wa huyu Vin jr, adabu hana na ni mkorofi sana uwanjani anapenda kupigana, matusi na kejeli kwa mashabiki wa timu pinzani. Hizo zinaweza kuwa ni moja ya sababu zilizo muangusha.

Nakumbuka wakati anaanza kucheza Madrid alimletea hizo tabia Karim Benzema, wakakafunza adabu k
akakaa sawa na akashine mnooo, sasa Karim kaondoka naona amerudia ujinga wake dhidi ya Mbappe ili aonekane ndio prince wa Bernabeu na kusahau kuwa kuna magwiji walipita pale na kufanya makubwa zaidi yake ambayo ndiyo yanamfanya aonekane kuichezea team kubwa
Ukisikia mchawi ndo wewe sasa..
 
Kuna clip inaonyesha utovu wa nidhamu wa huyu Vin jr, adabu hana na ni mkorofi sana uwanjani anapenda kupigana, matusi na kejeli kwa mashabiki wa timu pinzani. Hizo zinaweza kuwa ni moja ya sababu zilizo muangusha.

Nakumbuka wakati anaanza kucheza Madrid alimletea hizo tabia Karim Benzema, wakakafunza adabu k
akakaa sawa na akashine mnooo, sasa Karim kaondoka naona amerudia ujinga wake dhidi ya Mbappe ili aonekane ndio prince wa Bernabeu na kusahau kuwa kuna magwiji walipita pale na kufanya makubwa zaidi yake ambayo ndiyo yanamfanya aonekane kuichezea team kubwa
Dah yaan ww
 
Kuna clip inaonyesha utovu wa nidhamu wa huyu Vin jr, adabu hana na ni mkorofi sana uwanjani anapenda kupigana, matusi na kejeli kwa mashabiki wa timu pinzani. Hizo zinaweza kuwa ni moja ya sababu zilizo muangusha.

Nakumbuka wakati anaanza kucheza Madrid alimletea hizo tabia Karim Benzema, wakakafunza adabu k
akakaa sawa na akashine mnooo, sasa Karim kaondoka naona amerudia ujinga wake dhidi ya Mbappe ili aonekane ndio prince wa Bernabeu na kusahau kuwa kuna magwiji walipita pale na kufanya makubwa zaidi yake ambayo ndiyo yanamfanya aonekane kuichezea team kubwa
Upo sahihi Kbsa mkuu, yule kijana Ni mkorofi sana, Rodri alistahili kushinda hiyo tuzo hilo halina ubishi
 
Back
Top Bottom