Elections 2010 Nani aliweza haya uhai wa CCM - CCM is dead

Jamani CUF inatisha kuliko miaka yote iliyopita haijawahi kutokea hata mara moja tokea enzi hizo ,hii ni mara ya kwanza kwa umati wa watu kufurika kila kona ya Zanzibar wakati wa ufungaji wa kampeni Mjini Unguja.


 
Jamani CUF inatisha kuliko miaka yote iliyopita haijawahi kutokea hata mara moja tokea enzi hizo ,hii ni mara ya kwanza kwa umati wa watu kufurika kila kona ya Zanzibar wakati wa ufungaji wa kampeni Mjini Unguja.










mbona kama umati wa mkutano wa chadema? acha kupotosha umma mkuu!
 
mbona kama umati wa mkutano wa chadema? acha kupotosha umma mkuu!
Chadema hata mzikiri .u...i hamfikii kukusanya umati huo hapo sio mchezo .kesho ndio maziko ,hao uwaonao hapo wanasubiri maziko ya CCM kesho ,maziko yatakayochukua masaa kuminambili.
 
Leo maziko baada ya sala ya maghribi apo maiti apelekwa kuombewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…