Nani aliyehisi tetemeko la ardhi tarehe 22 Machi, 2021 jijini Dar es Salaam?

Nani aliyehisi tetemeko la ardhi tarehe 22 Machi, 2021 jijini Dar es Salaam?

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Hope mko njema,

Binafsi jana nikiawa nimetulia kibarazanii mida ya saa mbili usiku nilihisi mtikisiko wa nguvu tu uliodumu kama sekunde 10 hivi. Sikutilia maanani maana nilikua nipo bize na simu ila nilihis kama tinga tinga la kushindilia lami limepita kwa ule mtikisiko

Nikasema niingie ndani nipo katika kochi nakula pembeni palikua na sinia limefunika sufuria alafu juu palikua na kijiko, kwa utulivu wa pale ndani nikahisi kile kijiko kinatikisika maana niligeuka baada ya kusikia kinajigonga ktk sinia.

Niahisi bila shaka ni tetemeko nikaja kuprove asubuhi , uwani palikua na kizimba kina tank la maji alfu matofali yake yalikua na ufa wa muda mrefu pakawa kama pamemeguka kiasi kama keki iliyokatwa.

Ndo mdogo angu ananishtua mchana kaka mbona hili tofali limesogea kuja kutizama kweli basi nikajihakikishia ni tetemeko bila shaka kwa geography yangu ya form four . location mbezi

Ntaweka picha kesho
 
Hope mko njema,

Binafsi jana nikiawa nimetulia kibarazanii mida ya saa mbili usiku nilihisi mtikisiko wa nguvu tu uliodumu kamaa sekunde 10 hivi. Sikutilia maanani maana nilikua nipo bize na simu ila nilihis kama tinga tinga la kushindilia lami limepita kwa ule mtikisiko

Nikasema niingie ndani nipo katika kochi nakula pembeni palikua na sinia limefunika sufuria alafu juu palikua na kijiko, kwa utulivu wa pale ndani nikahis kile kijiko kinatikisika maana niligeuka baada ya kusikia kinajigonga ktk sinia.

Niahisi bila shaka ni tetemeko nikaja kuprove asubuhi , uwani palikua na kizimba kina tank la maji alfu matofali yake yalikua na ufa wa muda mrefu pakawa kama pamemeguka kiasi kama keki iliyokatwa.

Ndo mdogo angu ananishtua mchana kaka mbona hili tofali limesogea kuja kutizama kweli basi nikajihakikishia ni tetemeko bila shaka kwa geography yangu ya form four . location mbezi

Ntaweka picha kesho
Kama dakika moja iliyopita tetemeko limetokea Jijini Dodoma. Wataalamu mtufahamishe kuhusu hili tetemeko.
 
Aisee matukio yote hayo ni ndani ya sekunde kumi tu!? Nadhani ni dakika kumi, rekebisha huo muda kutoka sekunde kwenda dakika, tafauti na hapo hii habari yako itakuwa chai tu.
 
Aisee matukio yote hayo ni ndani ya sekunde kumi tu!? Nadhani ni dakika kumi, rekebisha huo muda kutoka sekunde kwenda dakika, tafauti na hapo hii habari yako itakuwa chai tu.
Umelielewa vibaya yani ni mara mbili ilo la mwanzo limetokea nipo kibarazani lilidumu kwa sekunde kumi .baada ya kuharibu attention yangu nikaingia ndani wakati nakula ndo nikahis tena kwa kuona kijiko kilichopo ktk sinia kinatikisika bila kuguswa.
 
Hapo jirani hakuna mkandarasi anatengeneza barabara...wasije wakawa walikuwa wanashingulia barabara ....
 
Hope mko njema,

Binafsi jana nikiawa nimetulia kibarazanii mida ya saa mbili usiku nilihisi mtikisiko wa nguvu tu uliodumu kama sekunde 10 hivi. Sikutilia maanani maana nilikua nipo bize na simu ila nilihis kama tinga tinga la kushindilia lami limepita kwa ule mtikisiko

Nikasema niingie ndani nipo katika kochi nakula pembeni palikua na sinia limefunika sufuria alafu juu palikua na kijiko, kwa utulivu wa pale ndani nikahisi kile kijiko kinatikisika maana niligeuka baada ya kusikia kinajigonga ktk sinia.

Niahisi bila shaka ni tetemeko nikaja kuprove asubuhi , uwani palikua na kizimba kina tank la maji alfu matofali yake yalikua na ufa wa muda mrefu pakawa kama pamemeguka kiasi kama keki iliyokatwa.

Ndo mdogo angu ananishtua mchana kaka mbona hili tofali limesogea kuja kutizama kweli basi nikajihakikishia ni tetemeko bila shaka kwa geography yangu ya form four . location mbezi

Ntaweka picha kesho
Lilitokea ndotoni mwako mwanangu
 
Back
Top Bottom