Nani aliyetudangaya mbuga na hifadhi za wanyama ni mali yetu?

Nani aliyetudangaya mbuga na hifadhi za wanyama ni mali yetu?

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Katika wiki hizi mbili naona malumbano mengi kuhusu hifadhi na mbuga za wanyama na wanyama wenyewe kama vile ni mali ambayo in exclusively kwaajili ya Watanzania. Naomba niwajulishe kwamba hivyo vyote ni urithi wa dunia.

Sisi kama Watanzania tumebahatika tu kuwa jirani na huo urithi wa dunia, hivyo si haba tukipata manufaa madogo madogo na makubwa makubwa kutokana na kuwepo jirani. Ila hizo vitu ni malli ya watu wote duniani.

Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika.
 
Wasalaam wana JF

Katika wiki hizi mbili naona malumbano mengi kuhusu hifadhi na mbuga za wanyama na wanyama wenyewe kama vile ni mali ambayo in exclusively kwaajili ya Watanzania. Naomba niwajulishe kwamba hivyo vyote ni urithi wa dunia.

Sisi kama Watanzania tumebahatika tu kuwa jirani na huo urithi wa dunia, hivyo si haba tukipata manufaa madogo madogo na makubwa makubwa kutokana na kuwepo jirani. Ila hizo vitu ni malli ya watu wote duniani.

Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika.
Huenda nimeelewa kinyumenyume
 
Wasalaam wana JF

Katika wiki hizi mbili naona malumbano mengi kuhusu hifadhi na mbuga za wanyama na wanyama wenyewe kama vile ni mali ambayo in exclusively kwaajili ya Watanzania. Naomba niwajulishe kwamba hivyo vyote ni urithi wa dunia.

Sisi kama Watanzania tumebahatika tu kuwa jirani na huo urithi wa dunia, hivyo si haba tukipata manufaa madogo madogo na makubwa makubwa kutokana na kuwepo jirani. Ila hizo vitu ni malli ya watu wote duniani.

Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika.
Umetoka lini wodini uncle MIXOLOGIST ?
 
Basi nenda urusi kwa Putin ukachimbe mafuta ,maana hata mafuta urusi hawajatengeneza wao ni natural resources kutoka kwenye aridhi ya dunia ambayo ni Mali ya kila mtu kama unavosema [emoji28]
Mkuu, wanyama wanaweza kuhama kama unavyosikia ndege wanaoishi KITULO wanaenda hadi ULAYA. Halikadhalika nyumbu wanahama kutoka TZ wanaenda KE. Mafuta hayahami yapo chini ya dunia hiyvo ni mali ya wakazi. Hoja yangu ni kwamba, huwezi kujimilikisha wanyama wa mwituni sisi tunatoa hifadhi tu kwa hao wanyama na si vinginevyo. Wanaweza wakaamua wenyewe kusepa kwenda nchi nyingine au bara lingine na wakishaondoka haiwezi tena kuwa hifadhi au mbuga litakua pori tu kama mapori mengine,
 
Wasalaam wana JF

Katika wiki hizi mbili naona malumbano mengi kuhusu hifadhi na mbuga za wanyama na wanyama wenyewe kama vile ni mali ambayo in exclusively kwaajili ya Watanzania. Naomba niwajulishe kwamba hivyo vyote ni urithi wa dunia.

Sisi kama Watanzania tumebahatika tu kuwa jirani na huo urithi wa dunia, hivyo si haba tukipata manufaa madogo madogo na makubwa makubwa kutokana na kuwepo jirani. Ila hizo vitu ni malli ya watu wote duniani.

Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika.
Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika[emoji15][emoji3064]
 
Wasalaam wana JF

Katika wiki hizi mbili naona malumbano mengi kuhusu hifadhi na mbuga za wanyama na wanyama wenyewe kama vile ni mali ambayo in exclusively kwaajili ya Watanzania. Naomba niwajulishe kwamba hivyo vyote ni urithi wa dunia.

Sisi kama Watanzania tumebahatika tu kuwa jirani na huo urithi wa dunia, hivyo si haba tukipata manufaa madogo madogo na makubwa makubwa kutokana na kuwepo jirani. Ila hizo vitu ni malli ya watu wote duniani.

Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika.
Kama mjomba wetu wa Oman akiomba simba mmoja au chui wawili shida ni nini? Tuache siasa mwaka wa uchaguzi 2025 haujfafika[emoji15][emoji3064]
 
Basi nenda urusi kwa Putin ukachimbe mafuta ,maana hata mafuta urusi hawajatengeneza wao ni natural resources kutoka kwenye aridhi ya dunia ambayo ni Mali ya kila mtu kama unavosema [emoji28]
Nataka nikamuhoji Elon musk kwanini anatumia pesa alizozipata kupitia resources zetu kujinufaisha peke yake.
 
Back
Top Bottom