Nani aliyewaambia na kuwadanganya hawa Wahubiri kuwa abiria wa mabasi ya mikoani ni wakosaji, mapepo na tunahitaji kuhubiriwa nao tukiwa safarini?

Mnhuuu hapo kwenye sadaka
 
Ajabu Sana,mbona hamuwakandii wanaoingia kuuza Korosho na juisi?kwani uliwaambia una shida nazo?
VP kuhusu wale wanaouza bidhaa kutoka kampuni za uingereza Kama dawa za meno na fangas?
 
Ajabu Sana,mbona hamuwakandii wanaoingia kuuza Korosho na juisi?kwani uliwaambia una shida nazo?
VP kuhusu wale wanaouza bidhaa kutoka kampuni za uingereza Kama dawa za meno na fangas?
Korosho,juisi,dawa za meno nk ni mahitaj ya muhimu. Kuhubiriwa sio kitu muhimu kiviiiiile. La sivyo pale Aljazeera wangejenga na kanisa
 
Ndugu yangu kaa kimya. Kwa vile tu hujui hukumu ijayo na moto wa milele. Ungekuwa na ufunuo huo, nawe ungekuwa mhubiri mkubwa mno wa kuwasaidi watu wasiende jehanum. Pili Mungu hana dini. Waislamu, wakristo, wapagani wote wanatakiwa kusikia injili. Biblia inasema " Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanae wa pekee ili kila mtu amwaminie asipotee bali awe na uzima wa milele." Kwa hiyo tunatakiwa kutambua hayo kwamba kila mwanadamu anatakiwa kujua haya. Kwa vile wewe ni muislamu unaona kwamba haya hayakuhusu. Yanakuhusu sana rafiki yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…