Kuna katimu wanakatafutia ubingwa wa ngao ya jamiiMpaka Sasa sijapata majibu kwa hili ninaloliona hapa katika mpira wetu hapa Tanzania.
Nijuavyo Mimi katika ngao ya jamii ilipaswa mshindi wa kombe la ligi na mshindi wa kombe la FA ndiyo wakutane tofauti na hapo Mshindi wa ligi atakutana na mshindi wa pili.
Hiki alichokileta Karia na genge lake sijui kakitoa wapi na sijui kina lengo gani katika mpira wetu huu wa Tanzania.
Zimeingia timu nne Ina maana michuano ya ngao ya jamii imenzia nusu mpaka fainali Hili ni Jambo la kushangaza sana.
Labda Kama Kuna anaejua huu mfumo TFF wameutoa wapi waje watueleze.
Masuaala muhimu Kama haya wachambuzi wa Mchongo wamefumba Macho wanajifanya hawaoni Ila wanasubiri Aziz k aharibu ndiyo watokwe na mapovu.
huu ni ujinga mkubwaMpaka Sasa sijapata majibu kwa hili ninaloliona hapa katika mpira wetu hapa Tanzania.
Nijuavyo Mimi katika ngao ya jamii ilipaswa mshindi wa kombe la ligi na mshindi wa kombe la FA ndiyo wakutane tofauti na hapo Mshindi wa ligi atakutana na mshindi wa pili.
Hiki alichokileta Karia na genge lake sijui kakitoa wapi na sijui kina lengo gani katika mpira wetu huu wa Tanzania.
Zimeingia timu nne Ina maana michuano ya ngao ya jamii imenzia nusu mpaka fainali Hili ni Jambo la kushangaza sana.
Labda Kama Kuna anaejua huu mfumo TFF wameutoa wapi waje watueleze.
Masuaala muhimu Kama haya wachambuzi wa Mchongo wamefumba Macho wanajifanya hawaoni Ila wanasubiri Aziz k aharibu ndiyo watokwe na mapovu.
Uto mmeshaanza woga, na mtaisoma namba this season!
Kuna katimu wanakatafutia ubingwa wa ngao ya jamii
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Makolo FcKuna katimu wanakatafutia ubingwa wa ngao ya jamii
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Rubbish. Kwahiyo huo mfumo wa timu mobility umeiga toka wapi?Uo mfumo wa kispaniola sio wa ku copy niwa kipuuzi tu. Ndio maana timu zina cheza mechi za maandalizi.
Ilitakiwa ichezwe mechi moja tu kama ni Yanga vs Simba ligi ianze.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hujamwelelewa pale Segera kuna Musoma bar.
Kila kitu wewe ni Kupinga.
Basi kigoma ndio IPO karibu na Tanga.
FICHA UJINGA.
Weka akili zako tuone fact zako siyo unakimbilia kushutumu watu kuwa hawana akili.Kupitia huu uzi nimegundua watu hawana akiili aisee,
Hii JF ndo inajisifu kuwa na watu wenye akili? Au watu wenye umuch know ambao hawaelewi hata wakiwekewa point ?
Kwa hyo wameiga mfumo wa spain??Huu mfumo ni mzuri tu hasa ukizingatia lengo la ngao ya jamii na Spain tayari wanautumia sijui mnaopinga mna agenda gani? Hampend kuangalia mpira au?
Ngao ya jamii ya namn hiyo ipo tena ligi kubwa ulaya Laliga na BundesligaJapo umembeza, ila kiuhalisia mkuu wewe ndio unahitaji elimu.
Huu ni utaratibu wa kijinga sana, hakuna ngao ya jamii ya team 4. Man City na Arsenal ngoma imeisha jana, week hii league zinaanza.
Tukubali tukatae, TFF watu wa mpira ni wachache sana. Ngumu sana kwao kwenda na mabadiliko kadhaa ya mpira wa kisasa.
Kupitia huu uzi nimegundua watu hawana akiili aisee,
Hii JF ndo inajisifu kuwa na watu wenye akili? Au watu wenye umuch know ambao hawaelewi hata wakiwekewa point ?
Tena Spain huwa wanachezea nje ya nchi Yao kabisa
Anzisha mtandao wako wa watu seriousJAMII forum IMEKUWA na WATU wa HOVYO MNO.
Mitandao Mingi ya kijamii Tz inatumiwa na WATU WAJINGA kufuatilia mambo ya kijinga na KIPUMBAFU.
HAWAPO kwaajili ya kutafuta MAARIFA na UJUZI.
Binafsi nilijiondoa JF.
Baadaye nikaona nirudi kwa Acc mpya.
HII SIO JAMII FORUM NINAYOIJUA MIMI.