Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Siyo kwamba Wabongo tumezoea, Bali Tanzania ni nchi ya common wealth, bunge la Westminster na barabara zetu ni keep left.Ngao ya jamii ya namn hiyo ipo tena ligi kubwa ulaya Laliga na Bundesliga
Ni vile tu wabongo tumezoea kila kitu iwe kama Epl
Unataka kuongea nini mbele ya Mwingereza?