Nani aliyewashauri TFF na Bodi ya Ligi kuingiza timu nne kwenye michuano ya Ngao ya Jamii?

Siyo kwamba Wabongo tumezoea, Bali Tanzania ni nchi ya common wealth, bunge la Westminster na barabara zetu ni keep left.

Unataka kuongea nini mbele ya Mwingereza?
Sasa usiseme mfumo mbaya kisa uingereza hawafanyi je ikitokea England nayo ikaamua kutumia mfumo huu utasemaje napo?
 
Sasa usiseme mfumo mbaya kisa uingereza hawafanyi je ikitokea England nayo ikaamua kutumia mfumo huu utasemaje napo?
Super cup walishaikataa, tafuta historia ya football kwanza Ndio uanze kuwachallenge Waingereza ewe mbumbumbu.
 
Super cup walishaikataa.
Nakumbuka England walikuwa wantumia mfumo wa home and away kwenye Fa ila sisi tukaweka mfumo wa mechi moja tu ukipigwa nje sisi wabongo tukalalamika kinoma
Matokeo yake sasa England nao wakaleta wazo watumie mfumo wa mechi moja kama sisi sasa hapo ndio napoona mda mwengine tunashindwa kujiamini wenyewe
 
England wameiga Tanzania? Alooooh!! In Mwamposa voice.😀😀
 
Moja mapato ya mji wa Tanga
Pili kampeni ya Karai kurudi Tifuatifua
Tatu kutaka kugombea Ubunge
Nne swaga za kijinga jinga za kisomali japo hili halina uzito.
 
Ujinga wa TFF kutaka mapato na kurefusha tumbo la Karai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…