Munamuge
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 810
- 795
Nazikumbuka Tungo za R.O.M.A
"Uchafu wa Mrisho, unamfanya Benja aonekane msafi"
"We ni mkwere wa Chalinze ambae hautomsahau Mnyakyusa, Mwakyembee alowafunisha Monduli siasa"
"Wameacha tizi wakaoa ka Mrisho Ngasa, mi nakomba pesa zote nasepa kama Lowasa"
"Bandugu bwaga manyanga, ayaokote Magufuli"
Na nyingine nyingi unazozikumbuka hasa kwa msimu huu wa kuelekea 25/Oct
Je, ni nini kilimsibu hadi kufikia ukimya huo?
"Uchafu wa Mrisho, unamfanya Benja aonekane msafi"
"We ni mkwere wa Chalinze ambae hautomsahau Mnyakyusa, Mwakyembee alowafunisha Monduli siasa"
"Wameacha tizi wakaoa ka Mrisho Ngasa, mi nakomba pesa zote nasepa kama Lowasa"
"Bandugu bwaga manyanga, ayaokote Magufuli"
Na nyingine nyingi unazozikumbuka hasa kwa msimu huu wa kuelekea 25/Oct
Je, ni nini kilimsibu hadi kufikia ukimya huo?