The Investigator
Member
- Aug 20, 2024
- 66
- 143
Makonda anapenda Sana sinema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kuna mada hapa?!!!!Jikite kwenye mada
Akikujibu nitag.....Kuna Sheria yoyote amevunja kwa kutoa hiyo ripoti?
Anatumia nyakati bara'bara!kwa wasio na malengo na wasio na mipango mikakati hii itakua haina maana kwao..
But this gentleman, Paul Christian Makonda, Arusha RC, is a really visionary and modern leader of new era 🐒
Ahahahahaha! Sawa Mkuu!!Akikujibu nitag.....
Halafu kuna manyang'au yamo humu yanasema alikuwa anatekeleza majukumu yake, hivi job description yake ilikuwa na kitu kama hicho kwenye barua?Maamae Sabaya huko aliko. Ametesa sana wafanyabiashara yule mbwa. Alistahili Risasi ya kichawa yule mbwa kichaa
Hajavunja Sheria, ila hiyo michango ni ya nini anayoomba/kulazimisha!?Kuna Sheria yoyote amevunja kwa kutoa hiyo ripoti?
Anavunja Sheria? Mbona Lissu anachangiwa na hatoi mrejesho? Uliishawahi kuhoji hilo?Hajavunja Sheria, ila hiyo michango ni ya nini anayoomba/kulazimisha!?
Hajavunja Sheria, ila hiyo michango ni ya nini anayoomba/kulazimishaKuna Sheria yoyote amevunja kwa kutoa hiyo ripoti?
Lissu ana mamlaka ya kuweka watu ndani!?Anavunja Sheria? Mbona Lissu anachangiwa na hatoi mrejesho? Uliishawahi kuhoji hilo?
Lissu ana mamlaka ya kuweka watu ndani!? Lissu akichangiwa ina halalisha Bashite kuchangiwa!?Anavunja Sheria? Mbona Lissu anachangiwa na hatoi mrejesho? Uliishawahi kuhoji hilo?
Agenda 2025Kabla ya yote naomba kuwapa pole Wafanyabiashara wenzangu wa Kariakoo kwa kuangukiwa na jengo, nimeguswa moja kwa moja na ajali hii kwa sababu nina washirika wangu wa kibiashara wamepata janga, tumuombe Mungu awafanyie Wepesi, Amina.
Kwa kadri ya Umri nilio nao na kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kukumbuka kuona wala kusikia Mtumishi wa umma wa ngazi ya Chini kama RC akijifanyia ama akifanyiwa tathmini (ripoti) ya kipindi fulani cha uongozi wake (Niko Tayari kusahihishwa)
Sasa huko Arusha kuna jambo linaloendelea, kwamba eti Mtumishi wa Umma ambaye ni Mkuu wa Mkoa huo ndugu Paulo Makonda anatoa ripoti ya Utumishi wake wa Umma kwa kipindi cha miezi 6 alichotumikia kazi hiyo!
View attachment 3154582
Ripoti hiyo inatolewa ili iwe nini? kwanza imeandaliwa na Nani na kwanini? na baada ya ripoti hiyo kutolewa nini kitafuata?
Halafu kwanini ni Makonda tu na wala si Ma RC wengine?
Naomba mwenye majibu anisaidie
Ahahahahaha! Kumbe kwakuwa hana mamlaka ya kuweka watu ndani ndio maana Lissu anachangiwa!? JF, The home of great thinkers! Ahahahahaha!!Hajavunja Sheria, ila hiyo michango ni ya nini anayoomba/kulazimisha
Lissu ana mamlaka ya kuweka watu ndani!?