Pre GE2025 Nani ameandaa kinachoitwa Ripoti ya Miezi 6 ya Makonda? Kwanini na ili iweje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jamaa ni mbunifu wa kazi na utekelezaji wake, sioni tatizo na hakuna aliekatazwa kuonesha mafanikio yale na mapungufu yake
 
kwa wasio na malengo na wasio na mipango mikakati hii itakua haina maana kwao..

But this gentleman, Paul Christian Makonda, Arusha RC, is a really visionary and modern leader of new era 🐒
Anatumia nyakati bara'bara!
 
Naona kama imekosa focus, badala ya kumjenga inataka kumfanyia mambo ya ghorofa la kariakoo
 
Maamae Sabaya huko aliko. Ametesa sana wafanyabiashara yule mbwa. Alistahili Risasi ya kichawa yule mbwa kichaa
Halafu kuna manyang'au yamo humu yanasema alikuwa anatekeleza majukumu yake, hivi job description yake ilikuwa na kitu kama hicho kwenye barua?
 
Itatuchukua miaka mingi sana kuirudisha nchi kwenye utawala wa sheria.
Magufuli katuachia mfumo ambao RC ana nguvu kuliko Waziri wa wizara fulani, mfumo ambao Dc ana nguvu kuliko mbunge au diwani.
 
Sijui kama anakosea....nadhani yeye jamaa huwa ana hulka ya kutaka kuwa tofauti na ma RC wenzie, pia kutopoa..kutofanya kwa mazoea, kutaka kuonekana...nk nk.. sabab nadhani ni kama hatakagi kuwa sawa nao walio nyanja moja...na hata kudharau mawaziri....hata alipokuwa Dar aliwahi kufanya mambo mengi ambayo yalikuwa sio kawaida ya MaRC kufanya na hata ikawa ndio kama kiranja wa MaRC wote nchi nzima..nadhani kimkakati , binafsi zaidi anajiongeza kwa mambo yajayo..muhimu kama havunji sheria.
 
Agenda 2025
 
Hajavunja Sheria, ila hiyo michango ni ya nini anayoomba/kulazimisha

Lissu ana mamlaka ya kuweka watu ndani!?
Ahahahahaha! Kumbe kwakuwa hana mamlaka ya kuweka watu ndani ndio maana Lissu anachangiwa!? JF, The home of great thinkers! Ahahahahaha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…