Nani amelielewa tangazo hili la Bank of Tanzania (BoT), atufafanulie!

Kwammba noti ya mwaka 1985 ambayo ilishatokewa tamko kama hili kwamba si halali tena, ghafla leo zinakuwa halali?! Au kuna mtu ana noti zake za zamani anataka kubadilisha ndio wanampa mwanya?
Swali gumu ila nadhani hawa wanaoununuaga pesa za zamani huko mtaani wana jibu. Maana unakuta mtu na kiti na meza yake kabisa ananunua noti za zamani
 
Kuna jambo kuuubwaaa pesa hakuna wana siasa wame ficha pesa mingi sanaaa ajili uchaguzi......zinatakiwa kurudi kwenye mzunguko....kazi kwetu watanzania wanasiasa wanasimamisha uchumi wa nchi sio wafanya biashara ? Only in Tanzania.....wafanya biashara ndio hao wana siasa....
 
Lengo wachapishe noti mpya yenye picha ya muuzaji hovyo wa maliasili zetu na kuacha za kwao.
 

Bot bana wanatoa tangazo bila hata picha. Sasa watoto wa Gen Z watajuaje not za 1985? Walete picha za pesa hizo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kumbe ukifanya hivi ndo unaboresha Maisha ya wananchi wako, du acha nitoke ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ