Kuna ile dhana ya 'fulani alipata ngoja na mimi lazima nipate', jamaa kila ukifungua lazima umkute kafungua nyuzi, nyuzi zenyewe sasa! Ili mradi tu, full ushamba na ujuaji.Lengo ni kushinda! Hata kwa pumba!NALIA NGWENA
Huyu, ukitoa lugha chafu plus majivuno na dharau;Habari za ndani kabisa na nyeti kuhusu soka la Tanzania hakuna anayemfikia.GENTAMYCINE
Sijaandika list ya machizi ya jf, nimeandika list ya wanajf bora wa jukwaa la michezo.Bila GENTAMYCIME hii list ni batili
Asante mkuuKilimbatz
Laban og
Frank Wanjiru
Akina Scars mbona ni Simba lialia na kila siku hapa jukwaani ni kupiga umbea dhidi ya Yanga?Ndio ujinga wake hyo nalia ngwena ni muimba mapambio wa utopolo pro max ngoja leo uone kama akifungwa mambo ya al ahly na yanga akifungwa ila popoma mpaka team yake simba anaipa makavu.
Sele ndiyo nani tena humu jukwaani?Sele cha matusi
Nakaziaa [emoji23][emoji23][emoji23]Msipompa ankol angu GENTAMYCINE tunakata rufaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpeni maua yake