Nani ametisha kwenye ngoma ya Underrated?

Nani ametisha kwenye ngoma ya Underrated?

Stamina Ametuletea Jina la wimbo "Underrated" tuanze kwa kujua maana ya underrated ni nini ndio tutajua nani Ametisha humo

Kwa lugha rahisi kabisa Underrated ni mtu au kitu ambacho kiuhalisia kina uwezo mkubwa/umuhimu mkubwa/ufundi mkubwa/thamani kubwa/nguvu kubwa ila ni tofauti na vile jamii inakichukulia

Haya turudi kwenye Verses za wakali wetu tuangalie je ni Nani kaweza kubakia kwenye Mada ya wimbo? Kwangu Mimi list itakaa namna hii

1.Dizasta Vina
2.Mawenge
3.Stamina

Hao ndio walioelewa Assignment ya neno Underrated, ila kwa upande wa Boshoo,Maarifa na Motra wao ni either hawakuelewa theme ya wimbo au ni basi tu waliamua kuchagua mistari ambayo kwao waliona ni mikali

Udhaifu wa Boshoo ni mmoja, anapenda sana kwenda na mzuka wa Hadhira haijarishi atarap kuhusu nini na jamaa anarudia sana mistari, so inamfanya kuwa yuko too predictable, kuna mistari yake kamwe hawezi kuiacha

ukitaka kuthibitisha nenda mitaa ya dakika 10 za maangamizi kamskilize, alafu nenda kwenye Ngoma zake ukaskilize pia, utakuta mistari ya kwenye underrated kashaichana kule kitambo na vilikuwa havina uhusiano na wimbo wa stamina ila kapachika tu, Ngoma Kali kabisa ya Boshoo ni Nilipotoka ft Duke Tachez

Mwisho wa siku, hivi sasa tuna uhaba sana wa wasanii ambao wanaweza kustick kwenye Mada mwanzo mwisho, kama ilivokuwa kina Prof jay,Juma Nature,Afande sele,Solo Thang,Daz Nunda,Fid Q, Langa,Ngwair nk

Kwa hivi sasa wasanii ambao wanauwezo wa kustick kwenye Mada mwanzo mwisho, wa Kwanza kabisa ni Dizasta, huyu kwenye hii case hakuna tena wa kumgusa maana anaweza kuandika kitabu kabisa achilia mbali kustick kwenye Ngoma ya dkk 10, huyu labda asimame na legend Prof jay

Akifuatiwa na Songa,Mawenge na Rapcha, hawa nao wako vizuri sana kwenye kubakia kwenye Mada au story telling, kama Mawenge ni Hatari sana huyu jamaa, pia Rapcha hayuko nyuma anajitahidi sana

NB, haya ni maoni yangu Tu.
Mwamba umemaliza kesi
Uzi ufungwe
 
Say no more, umemaliza kila kitu😂

Tatizo jamaa ni overrated na hii ngoma ni ya underrated, ila line kwa line bado kiaina, sio kwamba hana kitu ila bado hajafikia ule uwezo hivyo akaze buti atafika
Ajabu ni kwamba ameshindwa kukaza. Ni kama vile aliingia ubaridi ghafla
 
Stamina Ametuletea Jina la wimbo "Underrated" tuanze kwa kujua maana ya underrated ni nini ndio tutajua nani Ametisha humo

Kwa lugha rahisi kabisa Underrated ni mtu au kitu ambacho kiuhalisia kina uwezo mkubwa/umuhimu mkubwa/ufundi mkubwa/thamani kubwa/nguvu kubwa ila ni tofauti na vile jamii inakichukulia

Haya turudi kwenye Verses za wakali wetu tuangalie je ni Nani kaweza kubakia kwenye Mada ya wimbo? Kwangu Mimi list itakaa namna hii

1.Dizasta Vina
2.Mawenge
3.Stamina

Hao ndio walioelewa Assignment ya neno Underrated, ila kwa upande wa Boshoo,Maarifa na Motra wao ni either hawakuelewa theme ya wimbo au ni basi tu waliamua kuchagua mistari ambayo kwao waliona ni mikali

Udhaifu wa Boshoo ni mmoja, anapenda sana kwenda na mzuka wa Hadhira haijarishi atarap kuhusu nini na jamaa anarudia sana mistari, so inamfanya kuwa yuko too predictable, kuna mistari yake kamwe hawezi kuiacha

ukitaka kuthibitisha nenda mitaa ya dakika 10 za maangamizi kamskilize, alafu nenda kwenye Ngoma zake ukaskilize pia, utakuta mistari ya kwenye underrated kashaichana kule kitambo na vilikuwa havina uhusiano na wimbo wa stamina ila kapachika tu, Ngoma Kali kabisa ya Boshoo ni Nilipotoka ft Duke Tachez

Mwisho wa siku, hivi sasa tuna uhaba sana wa wasanii ambao wanaweza kustick kwenye Mada mwanzo mwisho, kama ilivokuwa kina Prof jay,Juma Nature,Afande sele,Solo Thang,Daz Nunda,Fid Q, Langa,Ngwair nk

Kwa hivi sasa wasanii ambao wanauwezo wa kustick kwenye Mada mwanzo mwisho, wa Kwanza kabisa ni Dizasta, huyu kwenye hii case hakuna tena wa kumgusa maana anaweza kuandika kitabu kabisa achilia mbali kustick kwenye Ngoma ya dkk 10, huyu labda asimame na legend Prof jay

Akifuatiwa na Songa,Mawenge na Rapcha, hawa nao wako vizuri sana kwenye kubakia kwenye Mada au story telling, kama Mawenge ni Hatari sana huyu jamaa, pia Rapcha hayuko nyuma anajitahidi sana

NB, haya ni maoni yangu Tu.
Nasikitika TU hapo Kwa wakongwe wa ku_stick na mada umewezaje kumsahau Jay Moe!?

Ila uchambuzi wako ni mzuri na uandishi pia. Hongera.
 
Maarifa na Dizasta wameflow fresh sana.

Style ya flow za Dizasta, ni nadra sana kupoteana au kufunikwa kwenye hizi colabo. P nae kaenda vizuri, ila kwa mtazamo wangu hajawafikia hao wawili
Dizasta noma sana, anakwambia I'm in the top two and I'm not second!
 
Ukwel usemwe rapcha ana uwezo mdogo sana...yaan kaharibu ngoma mpaka unatamani umfute kwenye wimbo[emoji35]...Disasta kafanya ngoma kama yake vile katisha,stamina nae kaua
 
Ukwel usemwe rapcha ana uwezo mdogo sana...yaan kaharibu ngoma mpaka unatamani umfute kwenye wimbo[emoji35]...Disasta kafanya ngoma kama yake vile katisha,stamina nae kaua
Umesikiliza Mr. Xmas ya mwaka huu?
 
Say no more, umemaliza kila kitu😂

Tatizo jamaa ni overrated na hii ngoma ni ya underrated, ila line kwa line bado kiaina, sio kwamba hana kitu ila bado hajafikia ule uwezo hivyo akaze buti atafika
Acheni zalau....kwahyo Motra,maarifa,boshoo wanamzidi Rapcha?
 
Ukwel usemwe rapcha ana uwezo mdogo sana...yaan kaharibu ngoma mpaka unatamani umfute kwenye wimbo[emoji35]...Disasta kafanya ngoma kama yake vile katisha,stamina nae kaua
Rapcha kaharibu ngoma gani? Au hata Rapcha humjui
 
Back
Top Bottom