Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Mitiki isije kuwa Biashara ya Mayai ya Kware?Wewe unayesema kuna soko lakini hujui soko lipo wapi.... mwambie soko lipo wapi? Wananunua kwa sh ngapi? Hizo ni story za kusadikika bora alime mananasi tu ataenda kuuza buguruni
Sent using Jamii Forums mobile app