Nani Amsaidie Max Melo kusoma PM?

Hivi hiyo pm ipoje wakuu.i think kwangu haipo,sijui kuitumia pm
 
Ndio maana ya kuwa CEO usione watu wanapata heshima duniani changamoto kama hizo hazikwepeki.
 
Nusu ya message hapo ni za watu wasiojulikana! [emoji23]
 
Hivi hiyo pm ipoje wakuu.i think kwangu haipo,sijui kuitumia pm
Private message au inbox kwa Kiswahili ni kikasha cha ujumbe/mawasiliano ya watu wawili.
Sio lazima kiandikwe kwa maneno mkuu [emoji23]
Mara nyingi kikasha hicho huonekana kwa alama ya kabox ka ujumbe.
Kwani hujawahi kutuma au kutumiwa meseji huku?
 
Ndo maana pm zang hajibu aiseee
 
I hope nyingi sio za wadada hapo. Za maana kama zetu huwa zinajibiwa hapo hapo πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…