Nani ana habari za kabila hili la watembea uchi

Usatrump. Nakuunga mkono. Kweli inaonekana uko vyuma havijakaza, that's why wameshiba haswaaa.
 
Hawa jamaa wa sudani kitu kama hicho, kwao kitambi ni fahari sana.
 
Vipi kuhusu Yesu ?
 
Acheni kutudhalilisha jamani,hivi hamjui kuwa kuna wanawake humu..?
 

Duuuuuh taabu iko pale pale!!
 
alaf mbona uyo mmoja hapo kama anadamshi anavyotembea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…