Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCMMagaidi
Chinga wanaunga umeme toka kwenye transfoma..unategemea nnShoti ya umeme kwenye masoko.
Haya matukio yanaumiza na kufikirisha sanaRecently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Usiku wa kuamkia leo maduka yameugua Katoro - Geita. Kuna hotel Zanzibar nayo imeungua leo, moto umekuwa motoRecently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Ukosefu wa umeme + Ukosefu wa maji + Ukame + Jua Kali + Joto = MotoUsiku wa kuamkia leo maduka yameugua Katoro - Geita. Kuna hotel Zanzibar nayo imeungua leo, moto umekuwa moto
Kabisaaa kijani kibichi oyeeeeee ,unaona umesahau Mbowe kazuia na mvua kunyesha , kaleta na mgao wa umeme na maji.wafuasi wa mboe lazima wachunguzwe.
jeshi la polisi lianze kwanza na hao wafuasi wa mboe.
Sisi Raia wema tutoe taarifa mara tunapoona kuna viashiria vya kihalifu.
mboe alikuwa anawatumia sana vijana kufanya vitendo vya kihalifu.
mboe alisha pandikiza chembe chembe za kihalifu kwa wafuasi wake, hivyo wafuasi wake ni watu hatari sana, wanapaswa kufuatiliwa nyenendo zao hadi chooni.
wafuasi wa mboe lazima wachunguzwe.
jeshi la polisi lianze kwanza na hao wafuasi wa mboe.
Sisi Raia wema tutoe taarifa mara tunapoona kuna viashiria vya kihalifu.
mboe alikuwa anawatumia sana vijana kufanya vitendo vya kihalifu.
mboe alisha pandikiza chembe chembe za kihalifu kwa wafuasi wake, hivyo wafuasi wake ni watu hatari sana, wanapaswa kufuatiliwa nyenendo zao hadi chooni.
wafuasi wa mboe lazima wachunguzwe.
jeshi la polisi lianze kwanza na hao wafuasi wa mboe.
Sisi Raia wema tutoe taarifa mara tunapoona kuna viashiria vya kihalifu.
mboe alikuwa anawatumia sana vijana kufanya vitendo vya kihalifu.
mboe alisha pandikiza chembe chembe za kihalifu kwa wafuasi wake, hivyo wafuasi wake ni watu hatari sana, wanapaswa kufuatiliwa nyenendo zao hadi chooni.
Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Umetoa point sana hii.Na kwanini unazuka kwa Kuvizia mara Dar es Salaam mara Morogoro mara Mwanza mara Mbeya mara Morogoro na umeanza kuwaka baada tu ya Tamko la mwisho kwa Wamachinga kuhama katika maeneo siyo halali waliyokuwepo na waliyoyazoea kwa Kusapotiwa na Viongozi wa Kisiasa nchini?