Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
MENEJA wa hiyo MECHI ndo analipa gharama zote!!
(WANAHUDUMIANA) Mkuu, VIPI hujawahi kucheza MECHI???!!!
Pia unazungumzia mechi ipi ya NDANI au NJE ya inji??!!
Kwanini wasichangie gharama?
Kwani hizo mechi za nje ni zipi?
Au za ndani ni zipi?
The one who started or initiated the whole process!
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote iweje yeye ndo agharamike zaidi?
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano
mwanaume ni kichwa katika yote na popoteMr alipie maandalizi?
Wakati nyie wote mmehusika...mechi ikawa si yakuridhisha...upande 1 ulishindwa...hapo bado anakandamizwa Mr alipie pambano?
Kwwani aliepanga kua ni lazima mechi yeyote ilipiwe na Mr ni nani?
Ilikuaje iwe hivyo?
Inantiza sana!
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano
mwanaume ni kichwa katika yote na popote
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
Kwanini wasichangie gharama?
Kwani hizo mechi za nje ni zipi?
Au za ndani ni zipi?
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote iweje yeye ndo agharamike zaidi?
mshapeana...gharama itoke wapi tena? labda kama we ni fataki, umpe hela ya chupi