mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano
Mr alipie maandalizi?
Wakati nyie wote mmehusika...mechi ikawa si yakuridhisha...upande 1 ulishindwa...hapo bado anakandamizwa Mr alipie pambano?
Kwwani aliepanga kua ni lazima mechi yeyote ilipiwe na Mr ni nani?
Ilikuaje iwe hivyo?
Inantiza sana!
mwanaume ni kichwa kipi...kile kilichopokonywa kofia yake au hiki chenye mackio
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
Kwani ukienda hoteli ukaagiza chakula then usikipende, nani atatakiwa kulipa wewe ulie oda? Au aliekuuzia? Si utalipa wewe hata kama walikupa cha juzi.
Kwani ukienda hoteli ukaagiza chakula then usikipende, nani atatakiwa kulipa wewe ulie oda? Au aliekuuzia? Si utalipa wewe hata kama walikupa cha juzi.
mh! Sasa naona wanaJF sasa topic zingne ni kama kuzalilishana 2uu kma so ku2kanana live mana mpk kufikia huku dah? Okay lakn ila 2jalibu kuangalia na mambo ya kuuliza yana2jenga au yanamantiki kwny maisha 2sizungumze kama 4funny mana hayana msing mfano topic kama hii inamaana gan sasa kama umeuliza ulitakiwa umuulize demu wako au mke wako kama anafaidika au unafaidika thnk twice
mh! Sasa naona wanaJF sasa topic zingne ni kama kuzalilishana 2uu kma so ku2kanana live mana mpk kufikia huku dah? Okay lakn ila 2jalibu kuangalia na mambo ya kuuliza yana2jenga au yanamantiki kwny maisha 2sizungumze kama 4funny mana hayana msing mfano topic kama hii inamaana gan sasa kama umeuliza ulitakiwa umuulize demu wako au mke wako kama anafaidika au unafaidika thnk twice
mimi nafikiri, wa kuchangia gharama zote (kabla, wakati na baada ya) mechi inabidi iwe ni yule mwenye uwezo zaidi, na bila ya shaka ndiye aliyefanikisha mpango mzima wa mechi. kwani kama huna uwezo huwezi kupanga mechi na mtu yeyote LOL