Basi Mtambuzi anafaa sana kuwa maarufu wa MMU na sio Jukwaa la siasa. MziziMkavu anafaa sana kuwa superstar wa jukwaa la JF DR na picha lakini sio siasa.
Bujibuji, hivi sijawahi kuandika kule SIASANI hata siku moje eh.................?Basi Mtambuzi anafaa sana kuwa maarufu wa MMU na sio Jukwaa la siasa. MziziMkavu anafaa sana kuwa superstar wa jukwaa la JF DR na picha lakini sio siasa.
Mi mzima, hujambo dada yangu?. miajaman wooow ahsante sana figganigga am happy. Mzima?
Sina sababu ya kutokukushirikisha , bali nakushika skio usije ukampa darasa my Swirry "mIpAnGo yA kAnDo"
ntakutoa utumbo!
Ivi'ivii ! Yaani ivii'ivii !