Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

umaarufu harufu, watakuchunguza mpaka mnavyo lala na mkeo/mmeo hadi kula mi siutaki kabisa na sitaki mtu anitaje
 
Kwani nimekutekenya?
Au zimezidi zinataka kupunguzwa?
Wasiliana na Bishanga mi kwa leo niko nimekamatika na Kipipi

leo naona home made viagra imekukolea vipi ni karanga mbichi,umechemsha tikiti maji,umejipaka vitunguu saumu au umepitia Changbah kupata pilipili?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…