.
. Umenielewa hapo nilipoandika kwa maandishi!?
Tujiandae shosti, harusi yaja hiyo....
Hivi unawakumbuka wadada na wamama ulowahikula nao tunda? Maana naona kuna mmoja unamtongoza wakati alikuwa mkeo mwanzo
Nyie mnamtaka yupi kwani? Kwani nawaona mnashabikia tu, sielewi mnampigia debe nani?ndio ndugu zako tumefurahi kupata shem
Hellooooo kwa mpigo...habari zenyuuu!!!
umeona eeh ntakuwa mstari wa mbele