Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

Mmh tena na vile muda mrefu sana humu ndani hatujakifinya kipunga...ngoja niongee na ile brass band tuje na matarumbeta

Tuko sawa watu8, dada yetu anataka kuolewa, mwambie shem wetu Judgement arekebishe fasta basi kabla ya mwezi mtukufu.

Tupate pa kuja kula FUTARI na DAKU.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom