Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
- #41
kwa kifupi ni member ambaye kila jukwaa utamkuta na mwenye kuchangia mada mbalimbali bila ubaguzSijui vigezo vya usupa staa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kifupi ni member ambaye kila jukwaa utamkuta na mwenye kuchangia mada mbalimbali bila ubaguzSijui vigezo vya usupa staa
Mzee mwanakijiji
Mohamed said
Nguruvi3
Remote
yericko Nyerere
Mkandara
jasusi
Dr Slaa
Jokakuu
Zitto
Pasco
kakakiiza
wengineo;
Ritz
Zomba
Juliana shonza
dady nmepita kukusalimu
Yaani siku zoote hizi hiyo NAMNA ulikua huioni ? Itakupasa basi uongeze jicho la 3! Chezeia mai rolo- modo weyee!
Hahahahaaa acheni uzushi wenu aisee mi sio Vin DieselKopi: Erickb52 (ya kweli haya? Kwa kuimbisha madem nakuaminia mkuu)
Hahahahaaa acheni uzushi wenu aisee mi sio Vin Diesel
Pouwa mi niko kama kawa usijali mkuu!Iko poa mwana ....tutafutane weekend! !
Hivi unawakumbuka wadada na wamama ulowahikula nao tunda? Maana naona kuna mmoja unamtongoza wakati alikuwa mkeo mwanzoWanajua ubazazi wako....usitake kunichafua mie
Hivi unawakumbuka wadada na wamama ulowahikula nao tunda? Maana naona kuna mmoja unamtongoza wakati alikuwa mkeo mwanzo
1. Mzee Mwanakijiji 2. Slave kwisha !
?Kujitaja haipo