Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

wewe wewe wewe weeeee, wapi unakwenda, rudi haraka tanga. Yani ndugu zangu Arabela na KOKUTONA wameshafungisha sare za madera huku then unataka kughairi, wataweka wapi nyuso zao?

Yaani hapa mashavu yamenishukaaa, uso umekuwa mdogooo na macho yamekuwa madoogo piritoni kubwa.

Malizeni tofauti zenu and be back together please.....
 
Yaani hapa mashavu yamenishukaaa, uso umekuwa mdogooo na macho yamekuwa madoogo piritoni kubwa.

Malizeni tofauti zenu and be back together please.....

Poleeee, yamekwisha mbona
 
superstar wa nini sasa, vioja, pumba, kugida, kushoboka au wa aina gani?
 
Arushaone ujue we una wakezo wa kutosha tu, tena wengine ndugu zangu. Mi nilikupa ofa ya valentine mwenzangu umenogewa!!!!!!!!!!!!!!!! Niache niende zangu kwa Judgement mie mitala siiwezi

Hata mie ningeshaa kuona haiba yako adhimu na nadra kuipata hapa East Africa unaipeleka kwa Mswati !
Ni dhahiri usingejitendea haki , wewe binafsi na familia yako in general !
 
Last edited by a moderator:
Arushaone ujue we una wakezo wa kutosha tu, tena wengine ndugu zangu. Mi nilikupa ofa ya valentine mwenzangu umenogewa!!!!!!!!!!!!!!!! Niache niende zangu kwa Judgement mie mitala siiwezi

Baba V & kaimu wako watu8 hizo miwani zenu , mnanisubiri mie ndiyo nije nizifute vumbi au?
Au haya ni maudhui yako ktk small font hamyaoni ?
Yakuzwe au?
Maana naona mmeshona midomo!
Ama?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom