Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

Nani anafaa kuwa Supastaa wa JF?

wewe wewe wewe weeeee, wapi unakwenda, rudi haraka tanga. Yani ndugu zangu Arabela na KOKUTONA wameshafungisha sare za madera huku then unataka kughairi, wataweka wapi nyuso zao?

Kwa uzito, na thamani ya uwito wako my Lav, nipeistopisha uelekeo!
Mwingine awaye yeyote hata ingekua invizibo , asingemudu kunivunjia ondoko!
Je? Hujaamini kwako YNNAH nimemaliza na sina ujanja?
 
Last edited by a moderator:
Teh!! ushawahi kuona Sheikh au Mchungaji analazimishwa kufungisha ndoa....la hasha!!
Nyie fanyeni taratibu zenu za kifamilia na nyinginezo sisi kazi yetu kugonga muhuri na kuhifadhi fo fyucha riferensi!!!

Baba V & kaimu wako watu8 hizo miwani zenu , mnanisubiri mie ndiyo nije nizifute vumbi au?
Au haya ni maudhui yako ktk small font hamyaoni ?
Yakuzwe au?
Maana naona mmeshona midomo!
Ama?
 
Last edited by a moderator:
Teh!! ushawahi kuona Sheikh au Mchungaji analazimishwa kufungisha ndoa....la hasha!!
Nyie fanyeni taratibu zenu za kifamilia na nyinginezo sisi kazi yetu kugonga muhuri na kuhifadhi fo fyucha riferensi!!!

Huko usemako ndo niko kwa njia naja!
Wastara haumbuki.
 
marejesho miss you!

Shem nilikaa kimya muda mrefu nikimtafakari huyu mume wangu Filipo ila nasikitika nimeshindwa kufanya maamuzi mazito... Mapenzi niliyonayo kwake badala ya kupungua yanaongezeka tu..... Sijui aliniloga kule Tanga?
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya Tanga si waniulize mie?
Tanga wanayeweza!
Tanga utulivu 100% !
Tanga zaidi ya uijuavyo !
Tanga Tanga!
Tanga shkamoo!

Sasa Unguja ulikuwa unafuata nini? unahamu na kuchomwa moto eee? hasira nyingine mbaya jamani.
 
Back
Top Bottom