Nani anafaa kuwa Waziri Mpya wa Michezo?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Kufuatia sakata la jana, ni wazi Waziri wa Michezo aliyepo"ametuzingua sana".

Na hivyo kwakuwa katuzingua Watanzania ni sawa na kumzingua Rais, tunategemea muda wowote ataachia ngazi kuonyesha dhana ya uwajibikaji, au ataondolewa na mamlaka iliyomuweka.

Je ni nani anafaa kuwa waziri mpya wa michezo? Pendekeza jina.
 
Kuna watu wengi sana Wazuri wanafaa kwa nafasi nyingi katika nchi hii...bahati mbaya huwa hawasaidiwi kukua kufika juu...

WAPO WATU wakipata nafasi hufanya kampeni kali kuwaumiza na kuwamaliza walioko chini yao wenye uwezo mzuri...Hilo tumeliona sana awamu iliyopita ndio mana tuhahaha kuwaza nani awe Waziri wa Michezo ukweli ni Kwamba Bashungwa Hatoshi.
 

Neno
 
Humphey Polepole, anajuwa Sheria, Amedil Sana na Media , wasanii. Mambo ya Jukwaa , connection na Serikali na n.k
 
Sababu ya kuhairisha mchezo huo ni nini?

Ova
TFF imeomba radhi na kusema imesikitishwa na kilichotokea na kusababisha kuahirishwa kwa mchezo kati ya Simba SC na Yanga SC.

TFF imeitaka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kutoa taarifa ya kina kuhusu kuahirishwa kwa mchezo huo, na kushughulikia hatima ya waliolipa viingilio. https://t.co/73m03b5G9G
 
Una uhakika gani kuwa TFF wanasema kweli kuwa walipewa order ya kubadilisha huo muda?
 
Yule jamaa naona kama ongea yake inamtesa sana.
Afadhali angepewa nafasi isiyo hitaji kukutana na mambo yanayo hitaji kuongea sana na umma.
 
Mhe. Neema Rugangila anafaa
 
TFF waache ujinga ujinga na upotoshaji,
Meji haikuahirishwa,ilivulugika,sijui wao wanaelewaje ,
Kuhusu waziri,
Mwakyembe alitoswa kabisa licha ya kujipendekeza kwa Ndugu Chato?
 
Mama atachukua toka upinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…