Nani anafaidika na ndoa?

Wanaume wengi wanaishia hivyo...Zinatofautiana tu namna, ila kiujumla wanawake ndio wanafaidika zaidi...na wanajua hilo, ndiomaana wanajazans kwa mwamposa kuomba waolewe
 
Huyu kuna mahali alikosea wakati wa ujana wake.Mbaya zaidi wanawake ni watu wa vinyongo na visasi.mwanaume anapomtendea mke ndivyo sivyo yeye anasahau lakini mke anaweka moyoni.Matokeo yake ndiyo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…