strategist22
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 655
- 599
Hello, ndio nimewahi kufanya kazi ila ni mkoani, changamoto haziwezi kuwa sawa kabisa na huko.Wewe ulishawahi kufanya kazi kwenye biashara ya kuuza chips?
Unaijua hiyo biashara jinsi ilivyo?
Nini kilikusukuma kutaka kufanya hiyo biashara?
Kwanini ununue vifaa vya hiyo biashara kabla ya kudadisi namna hiyo biashara inavyofanyika.
Uchovu Ni mwingi[emoji41]
Hapana mzee,kuna jela[emoji3][emoji3]yaani nahisi kama umenunua vitu kutoka kwa panya road!!!!!!!
nahisi tu!!
Hiyo inategemea na location.Inshort Biashara Kichaa hiyo. Gharama Sa Mafuta / Gas / Umeme / Vijana wa Kazi / Rent
Ni Daily then uanze kuhesabu faida yako hapo nafuu ufungue jiko la Kitimoto cz pay / prepare as per order basis. Kuna Challenge Zake Ila Sio Kama Kwenye Chips.
Hiyo inategemea na location.
Ukipata maeneo mchangamko hizo hasara huoni kwani mauzo ni mengi.
Na sio kwa biashara ya chips pekee bali ni biashara yoyote kama mauzo ni makubwa hata kama faida ni sh mia tano kwa siku ukiuza mara mia tano si sawa na anayeuza mara kumi au kumi na tano tu.
Mkuu nikitoa gharama hizo zote Siwezi laza 5000?Inshort Biashara Kichaa hiyo. Gharama Za Mafuta / Gas / Umeme / Vijana wa Kazi / Rent
Ni Daily then uanze kuhesabu faida yako hapo nafuu ufungue jiko la Kitimoto cz pay / prepare as per order basis. Kuna Challenge Zake Ila Sio Kama Kwenye Chips.
Unafanya Biashara ya kitimoto ,Naomba ABC Kidogo.Inshort Biashara Kichaa hiyo. Gharama Za Mafuta / Gas / Umeme / Vijana wa Kazi / Rent
Ni Daily then uanze kuhesabu faida yako hapo nafuu ufungue jiko la Kitimoto cz pay / prepare as per order basis. Kuna Challenge Zake Ila Sio Kama Kwenye Chips.
Asante. MkuuHiyo inategemea na location.
Ukipata maeneo mchangamko hizo hasara huoni kwani mauzo ni mengi.
Na sio kwa biashara ya chips pekee bali ni biashara yoyote kama mauzo ni makubwa hata kama faida ni sh mia tano kwa siku ukiuza mara mia tano si sawa na anayeuza mara kumi au kumi na tano tu.
Noted. Asante brother, nimepata mwanga, ila wewe umewai kuroga[emoji3]Mkuu from my experience nilishakuwa na biashara za chipsi tatu, ni changamoto na mpera mpera plus kuroga ili kuvuta wateja,ila cha msingi sio shemu inayowaka tu ndio kuna wateja ila hata sehemu za nje ya mji unaweza fanya biashara vizur tu na ukapiga hela kimya kimya........
Tafuta sehemu watu wanapo hamia ambapo hakuja changamka sana ambapo unaweza fanya biashara bila presha, make sure unazoeana na boda boda wote wa mtaa huo then fungua goli la chipsi kwa mtaji mdogo tu ukiwa tayar na kabati lako na kisehemu chako, wala usiwe na mbwembwe nyingi uza chipsi tu na mishikaki nusu na mayai yako trey moja, hela ya kula uwezi kosa.
Kuna kijana wakati nipo vizur kidogo mwaka jana tu alinifuata akaniambia brother sina mishe mtaani ila nina experience ya kuuza chipsi nifungulie goli nikimbize, sikuwa na hiyana nikatenegeneza kibanda kiligharimu kama laki moja tu ,tukavuta umeme na kumuambia kazi kwako,ila akakaa kama miezi kadhaa hafungui kumbe alikula hela ya kununua vitu vidogo vidogo kama karai ,sahani,vijiko,
Kaenda kupiga mishe za tofali then akanifuata tena brother nimerudi nipo tayar kwa kazi ,ila sina kabati nikamwambia pambana upate kabati ntakununulia viazi na mafuta uanze kazi, kaongea na baba yake kammtengenezea kabati,akanicheki tena brother tayar kila kila kitu nikampa elfu 50 tu ya kuanzia ,ila huwezi amini dogo anapambana sana viazi anawajazia kinoma mpaka nikawa nashangaa nikamwambia aiseee usije ukaniambia mtaji umekata hiyo ofisi ni yako sitaki hata kumi unipe, akasema brother huku uswazi nawajazia hawa ili wakawaambie wenzao mwisho wa siku wateja wajae hapa........
Kumbe ndio ilikuwa uchawi ule aiseeeee, sasa hivi wateja wanakuja pale wanapanga folen ya kawaida na anauza ndoo kumbwa mbili hadi tatu.
Jamaa anauza hadi 80,000 per day......analaza 30 per day..........
Alafu yupo normal tu .hiij ishu kanichana jana baada ya kukutana nae .akasema brother nakushukuru sana nlikuwa nikiamka sijui pakwenda ila sasa mambo yanaanza kufunguka,nikashangaa sana yan ambae nlimfungulia kimasihara siingizi hiyo hela kwa siku ila yeye ana force anaingiza,lakin mdio maisha siwez kumuonea wivu kisa anapata kuliko mimi,
Chipsi inalipa wazeee ukipata sehemu poa isiyo na mambo mengi
Chips za bure hamna[emoji3][emoji3][emoji3]hyo mademu tu ndo uzuri wake
biashara yenye mtaji kidogo lakini faida yake ni kubwa sana!!kama utakuwa makini kwenye matumizi.Mkuu from my experience nilishakuwa na biashara za chipsi tatu, ni changamoto na mpera mpera plus kuroga ili kuvuta wateja,ila cha msingi sio shemu inayowaka tu ndio kuna wateja ila hata sehemu za nje ya mji unaweza fanya biashara vizur tu na ukapiga hela kimya kimya........
Tafuta sehemu watu wanapo hamia ambapo hakuja changamka sana ambapo unaweza fanya biashara bila presha, make sure unazoeana na boda boda wote wa mtaa huo then fungua goli la chipsi kwa mtaji mdogo tu ukiwa tayar na kabati lako na kisehemu chako, wala usiwe na mbwembwe nyingi uza chipsi tu na mishikaki nusu na mayai yako trey moja, hela ya kula uwezi kosa.
Kuna kijana wakati nipo vizur kidogo mwaka jana tu alinifuata akaniambia brother sina mishe mtaani ila nina experience ya kuuza chipsi nifungulie goli nikimbize, sikuwa na hiyana nikatenegeneza kibanda kiligharimu kama laki moja tu ,tukavuta umeme na kumuambia kazi kwako,ila akakaa kama miezi kadhaa hafungui kumbe alikula hela ya kununua vitu vidogo vidogo kama karai ,sahani,vijiko,
Kaenda kupiga mishe za tofali then akanifuata tena brother nimerudi nipo tayar kwa kazi ,ila sina kabati nikamwambia pambana upate kabati ntakununulia viazi na mafuta uanze kazi, kaongea na baba yake kammtengenezea kabati,akanicheki tena brother tayar kila kila kitu nikampa elfu 50 tu ya kuanzia ,ila huwezi amini dogo anapambana sana viazi anawajazia kinoma mpaka nikawa nashangaa nikamwambia aiseee usije ukaniambia mtaji umekata hiyo ofisi ni yako sitaki hata kumi unipe, akasema brother huku uswazi nawajazia hawa ili wakawaambie wenzao mwisho wa siku wateja wajae hapa........
Kumbe ndio ilikuwa uchawi ule aiseeeee, sasa hivi wateja wanakuja pale wanapanga folen ya kawaida na anauza ndoo kumbwa mbili hadi tatu.
Jamaa anauza hadi 80,000 per day......analaza 30 per day..........
Alafu yupo normal tu .hiij ishu kanichana jana baada ya kukutana nae .akasema brother nakushukuru sana nlikuwa nikiamka sijui pakwenda ila sasa mambo yanaanza kufunguka,nikashangaa sana yan ambae nlimfungulia kimasihara siingizi hiyo hela kwa siku ila yeye ana force anaingiza,lakin mdio maisha siwez kumuonea wivu kisa anapata kuliko mimi,
Chipsi inalipa wazeee ukipata sehemu poa isiyo na mambo mengi
Sijawai kuroga aiseee! Ila wa pembeni yangu anafanya mambo hayo anaweza akafunga siku mbili akirudi siku ya tatu amsha yake sio ya kitoto.Noted. Asante brother, nimepata mwanga, ila wewe umewai kuroga[emoji3]