Yeah nataka nianze hii Biashara vifaa vyote tayari ninavyo bado sijapata sehemu natafuta maeneo ya Mbagala rangi tatu, kwa azizi Ally na tandika.
Nahitaji mtu anayefanya hii Biashara anipe mbinu za kufanya na za kuepuka. Ikiwezekana niende kwenye ofisi yake kupata uzoefu Kidogo.
Karibuni kwa ushauri, maelekezo, mapendekezo nk.