Nani anafuata Katiba ya Tanzania ??? Naiona ipo ipo tu lakini kiuhalisia hakuna,labda walala hoi wanyonge,

Nani anafuata Katiba ya Tanzania ??? Naiona ipo ipo tu lakini kiuhalisia hakuna,labda walala hoi wanyonge,

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Kaondolewa yule wa Mahesabu akachomekwa mwengine ilifuatwa Katiba ?
Sasa hata huyu Ndugai anaweza kuondolewa bila ya kufuatwa Katiba, Kwa Sasa Raisi ndio Mkuu wa Nchi hivyo any time anaweza kumtimua mtu .
 
Kaondolewa yule wa Mahesabu akachomekwa mwengine ilifuatwa Katiba ?
Sasa hata huyu Ndugai anaweza kuondolewa bila ya kufuatwa Katiba, Kwa Sasa Raisi ndio Mkuu wa Nchi hivyo any time anaweza kumtimua mtu .
sawa tu mradi Ndugai aondolewe kwa vyoyote
 
Back
Top Bottom