mama yuva mimi nimefundisha hapo kwanza shule inamilikiwa na jeshi la magereza tanzania, shule ina maktaba iliyosheheni vitabu na maabara zipo.
-chakula chao ni kizuri sababu shule inazingatia balance diet
-mazingira yake ya bweni ni mazuri tu
-maji yanapatikana bila shida yoyote sababu shule ina matank ya maji yakutosha
-sheria za shule zipo zinafanya kazi kwa mwanafunzi atakae zikiuka.
-tabia za wanafunzi ni nzuri sababu shule ni ya jeshi hivyo wanapewa malezi mazuri tu
Unaweza uliza chochote nikakusaidia ukiwa na tatizo.