mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 226
- 47
Wapendwa wana jamvi,
Naomba msaada kwa yeyote anayeifahamu Bwawani sekondari, mazingira yake ya Bweni, upatikanaji wa maji, sheria za shule. Najua matokeo yake ni average, lakini mengine sifahamu. Tabia za wanafunzi kwa ujumla. Hasa hasa wa kiume. Kuna yeyote aliyesoma hapo ?
Naomba msaada kwa yeyote anayeifahamu Bwawani sekondari, mazingira yake ya Bweni, upatikanaji wa maji, sheria za shule. Najua matokeo yake ni average, lakini mengine sifahamu. Tabia za wanafunzi kwa ujumla. Hasa hasa wa kiume. Kuna yeyote aliyesoma hapo ?