ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wana bodi Kuna ule utapeli unaofanyika anakuja mtu amepaka sijui madawa sijui wanasema Anatembea na majini ila anachofanya anakuongelesha ukianza kumjibu tu unajikuta unapoteza ufahamu kiasi Cha kwamba akikwambia chochote utamsikiliza.nilikuwa nipo singida nikapata kushuhudia Visa viwili, mwalimu mmoja katoka bank akakutana na huyo baba wa kisukuma akijitambulisha katoka usukumani Ana maongezi naye alivyomsalimia kwa kumpa mkono tu basi akajikuta anamuamini tapeli.tapeli akamuhadithia kila kitu kuhusu maisha yake,mahusiano yake,kazi yake yaani in short kila kitu anakwambia,tapeli akamwambia mwalimu amkabidhi hela yote afu ndo ilikuwa mshahara wake Zaid ya laki tano Hadi simu zake akampa.baadae akili inarudi ni baada ya kupita lisaa lizima.mwalimu anasema nilijikuta Sina nguvu zozote nikawa Kama akili imekufa ganzi
Najua jf Kuna watu mbalimbali wanaojua mambo mengi naombeni msaada na Mimi nataka nijue hio dawa naipataje.ila nawaahidi sitawaibia watu masikini wasio na pesa Mimi nitakwenda kutega mitaa ya mlimani city au posta posta huko kwenye ma bank makubwa akitoka billionea yoyote nimtapeli hata million 20 tu maana kwake yeye haitakuwa hasara kwa kuwa Ana hela nyingi.nafanya tukio moja tu afu naitupa hio dawa.nisaidie wakuu maana Nina shida Sana na hela Nina madeni
Najua jf Kuna watu mbalimbali wanaojua mambo mengi naombeni msaada na Mimi nataka nijue hio dawa naipataje.ila nawaahidi sitawaibia watu masikini wasio na pesa Mimi nitakwenda kutega mitaa ya mlimani city au posta posta huko kwenye ma bank makubwa akitoka billionea yoyote nimtapeli hata million 20 tu maana kwake yeye haitakuwa hasara kwa kuwa Ana hela nyingi.nafanya tukio moja tu afu naitupa hio dawa.nisaidie wakuu maana Nina shida Sana na hela Nina madeni