Nani anaijua dawa ya kichawi kupata hela?

Nani anaijua dawa ya kichawi kupata hela?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wana bodi Kuna ule utapeli unaofanyika anakuja mtu amepaka sijui madawa sijui wanasema Anatembea na majini ila anachofanya anakuongelesha ukianza kumjibu tu unajikuta unapoteza ufahamu kiasi Cha kwamba akikwambia chochote utamsikiliza.nilikuwa nipo singida nikapata kushuhudia Visa viwili, mwalimu mmoja katoka bank akakutana na huyo baba wa kisukuma akijitambulisha katoka usukumani Ana maongezi naye alivyomsalimia kwa kumpa mkono tu basi akajikuta anamuamini tapeli.tapeli akamuhadithia kila kitu kuhusu maisha yake,mahusiano yake,kazi yake yaani in short kila kitu anakwambia,tapeli akamwambia mwalimu amkabidhi hela yote afu ndo ilikuwa mshahara wake Zaid ya laki tano Hadi simu zake akampa.baadae akili inarudi ni baada ya kupita lisaa lizima.mwalimu anasema nilijikuta Sina nguvu zozote nikawa Kama akili imekufa ganzi
Najua jf Kuna watu mbalimbali wanaojua mambo mengi naombeni msaada na Mimi nataka nijue hio dawa naipataje.ila nawaahidi sitawaibia watu masikini wasio na pesa Mimi nitakwenda kutega mitaa ya mlimani city au posta posta huko kwenye ma bank makubwa akitoka billionea yoyote nimtapeli hata million 20 tu maana kwake yeye haitakuwa hasara kwa kuwa Ana hela nyingi.nafanya tukio moja tu afu naitupa hio dawa.nisaidie wakuu maana Nina shida Sana na hela Nina madeni
 
uko tayari kulala kifudifudi ukiwa wa mnyamA ?? ili tukupe dawa
 
Eti Akakutana na huyo "Tapeli Msukuma"
^^
Kulikuwa na haja ya kuandika Msukuma? Kwanini usingeandika Mchaga etc?
 
uko tayari kulala kifudifudi ukiwa wa mnyamA ?? ili tukupe dawa
Niko tayari fundi.niko tayari kwa lolote isipokuwa kuguswa tako au masharti yanayohusiana na kuua mtu.mengine yote Niko tayari
 
Eti Akakutana na huyo "Tapeli Msukuma"
^^
Kulikuwa na haja ya kuandika Msukuma? Kwanini usingeandika Mchaga etc?
Kwa sababu stori ambazo nikaendelea kuzipata ni kwamba wasukuma Wana dawa yao maaarufu kwa ushawishi na pia sio Mara ya kwanza au ya pili kusikia wasukuma ni wataalamu wa mambo hizo.
 
yaani kweli akili zako zinakutuma ukatapeli...?

duuh....jifikirie tena
 
Eti Akakutana na huyo "Tapeli Msukuma"
^^
Kulikuwa na haja ya kuandika Msukuma? Kwanini usingeandika Mchaga etc?
Kwa stori niliosimulia ilikuwa inahusisha msukuma kwa sababu alisema anatoke usukumani na hata lafudhi ya kisukuma inafahamika.sauda usiniharibie Uzi wangu me Niko serious nataka dawa nishakwambia na shida na hela kuliki unavyofikiria.achana na mimi
 
Kuna watu Wana mabillions ya shilling hivi mtu Kama huyo ukimtapeli milioni 40 tu SI ni sawasawa na hela yake ya maji tu.sita deal na msio na hela Nita deal na vigogo haswa
yaani kweli akili zako zinakutuma ukatapeli...?

duuh....jifikirie tena
 
Wana bodi Kuna ule utapeli unaofanyika anakuja mtu amepaka sijui madawa sijui wanasema Anatembea majini ila anachofanya anakuongelesha ukianza kumjibu tu unajikuta unapoteza ufahamu kiasi Cha kwamba akikwambia chochote utamsikiliza.nilikuwa nipo singida nikapata kushuhudia Visa viwili, mwalimu mmoja katoka bank akakutana na huyo baba wa kisukuma alivyomsalimia kwa kumpa mkono tu basi akajikuta anamuamini tapeli.tapeli akamuhadithia kila kitu kuhusu maisha yake,mahusiano yake,kazi yake yaani in short kila kitu anakwambia,tapeli akamwambia mwalimu amkabidhi hela yote afu ndo ilikuwa mshahara wake Zaid ya laki tano Hadi simu zake akampa.baadae akili inarudi ni baada ya kupita lisaa lizima.mwalimu anasema nilijikuta Sina nguvu zozote nikawa Kama akili imekufa ganzi
Najua jf Kuna watu mbalimbali wanaojua mambo mengi naombeni msaada na Mimi nataka nijue hio dawa naipataje.ila nawaahidi sitawaibia watu masikini wasio na pesa Mimi nitakwenda kutega mitaa ya mlimani city au posta posta huko kwenye ma bank makubwa akitoka billionea yoyote nimtapeli hata million 20 tu maana kwake yeye haitakuwa hasara kwa kuwa Ana hela nyingi.nafanya tukio moja tu afu naitupa hio dawa.nisaidie wakuu maana Nina shida Sana na hela Nina madeni

Muamini Mungu, Sali sana, kuwa na malengo, kubali changamoto na jibiidishe katika kile unachokipenda na kukiamini. Achana na Uchawi / Ulozi tafadhali!
 
apply ule uchawi wa 'hapa kazi tuu' hapo lazima upate pesa
 
Ukiijua hutafanya mara moja, itakuwa zaidi ya moja, maana imesemwa "ukionja nyama ya mwanadamu hutaiacha" ushauri wangu achana na hivyo vitu vitakuletea majaribu mengi mbele ya Mungu. Huo ni utapeli, unaweza kujikuta umetupwa gerezani kabla hujafanikisha malengo yako
 
Back
Top Bottom