Mzee Kada,
Wewe weka ya kwako na wengine wataweka yao, wanachi wataamua nani ana pumba na nani ana mchele,
(1). BM alikwenda Dodoma, akiwa hana uhakika nani wa kumchagua, lakini alishaaamua kuwa jm hapiti, sababu, ni kwamba mwaka 2000 wakati wa uchaguzi wa ndani wa ccm viongozi wengi wakiongozwa na Ndejembi walimfuata BM Chamwino saa za usiku, na kumtaka asimchague tena jm kuwa Veep, kwa sababu atachukua fomu ya urais mwaka 2005, kinyume na matakwa ya baba wa taifa, na akichukua bm hataweza kumsimamisha, some of them kama Anna Abdallah were crying machozi kabisaa kumbembeleza bm amuondoe jm,
(2). bm akawajibu kuwa amewasikia, lakini anamuhitaji bado, lakini akawaahidi kuwa in case jm atachukua fomu ya urais yeye atakufa naye tena over his dead body, compromise ikawa jm aitwe kwenye kikao cha kamati kuu aseme ukweli kuhusu urais wa 2005, mzee alipokuja akasema kuwa hatachukua fomu na hana nia kabisaaa, tatizo la mtandao likawa ni sas, kwa hiyo wakamkaba koo bm amtwange sas, maana alishawaambia kuwa hakuna tatizo na jm.
Siku ya mkutano ilipofika wa kamati kuu na uchaguzi, bm aliwaambia wajumbe wapitie majina yote wamuachie la jm na bilali, they did akamuita jm na kumuambia hukubaliki wewe toa jina now! baadaye akamuita Bialli na kumuambia toa jina lako now, sitaki ubishi wala kusikia kitu! that was the end of the story!
(3). Baada ya Muuungwana kupita, aliwakimbia watu wote kwa siri na kwenda kilimani kwa jm, na kufanya makubaliano naye for two hours wawili tu! baada ya pale jm akaanza kumsaidia muugwana na kampeni, wakati mmoja jm alikuwa songea vijijini akisaidia kampeni ya muugwana, again muungwana akawakimbia watu wake wote na kumfuata jm kwenye guest house, wakakaa kwa masaa matatu!
(4). Baada ya uchaguzi, baraza la mawaziri kubwa mno, muungwana na el wakamfuata jm usiku, kumuomba opinion, akwaambia do not listen fanyeni kazi vijana, ikiwa nzuri wananchi watasahau kuwa kuna baraza kubwa, but, kuanzia sasa nikiwa na shida nitawatafuta mwenyewe, sitawasubiri mnitafute!
(5). Mtandao wakaanza vijembe na bm, bm akaaanza kulia lia kwa jm kuwa mtandao wanamuonea, jm akawafuata el na muungwana na kuwakaripia kuwa waache mara moja, jm akajaribu kmuomba bm asijiuzulu ccm, lakini akagoma kuwa ni aibu kakwe kukaa chini kumsubiri muungwana kwenye vikao vya ccm, ambaye huchelewa makusudi kila kikao, since then bm hajawahi kuhudhuria kikao chochote cha ccm, jm akawafuata muungwana na el, na kuwakaripia kuwa waawambie watu wao waache kumlima bm, enough! wakaacha.
(6). Chuo kikuuu kipya cha Dodoma, Muuungwana alimfuata jm na kumuomba aamue kijengewe wapi, ni jm ndiye aliyeamua kijengwe hapo kinapojengwa sasa, na pia kusiamamia pesa zake zote, na hapo hapo akampa sillingi millioni 20 za kuanzia!
(7). Viongozi wa ZNZB, wakaanza kampeni za urais, again jm akamfuata muungwana na kumpa clear kuwa the best mgombea huko ni bilali, muungwana kwenye kamati kuu, akatukana viongozi wengine wote kina shamuhuna na nahodha kuwa waache kampeni na kumtishia shamuhuna kuwa atamnyang'anya vingora kama ndio inampa jeuri!
(8). Walipochaguliwa kina makamba, jm akamwambia muungwana kuwa ninataka kutoka sasa, mungwana no wait nipe more time!
I can go on and on bro, maamuzi ya ccm hufanywa na muungwana na jm tu! maamuzi ya serikali hufanywa na muungwna peke yake!