Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheeheeheheee apo unacomment uku unashusha kinywajiHizo hazina gharama sana!
😂😂 ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster😀Hizo hazina gharama sana!
😍😍😂😂 ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster😀
Mjengo wa ki fremason huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fala Sana[emoji119][emoji119][emoji119]Hizo hazina gharama sana!
Unajua vipi gharama lake ? Niambie mkuu, ingekuwa suluhisho kwa watu wengi. Halafu ni nzuri, unafikiri nini ?Hizo hazina gharama sana!
Unapenda ? Njoo tujenge😂😂 ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster😀
Jengo la mtindo huo huitwa "Town House" na gharam yake ni sawa na nyumba ya ghorofa, on mfano hapa chibni. 🙂
View attachment 1875026
Ukadiriaji wa gharama unaanzia kwenye 'plan' sio ' appearance'
Ujengaji wake unawezekana.Ukadiriaji wa gharama unaanzia kwenye 'plan' sio ' appearance'
Hiyo ni ngumu kukadiria gharama kwa sababu hatujui 'elements' zake kama nguzo na nyinginezo zikoje.
Ujengaji wake unawezekana.
Ila kwenye suala la makadirio ya gharama ni ngumu pasipo michoro
Ukinipa picha ya muonekano wa pande zote.Wewe ungeweza kufanya plan yake, kama mimi ninakupa size ya each room, na picha ya muonekano ningetaka ?