Heheeheeheheee apo unacomment uku unashusha kinywajiHizo hazina gharama sana!
๐๐ ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster๐Hizo hazina gharama sana!
๐๐๐๐ ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster๐
Mjengo wa ki fremason huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fala Sana[emoji119][emoji119][emoji119]Hizo hazina gharama sana!
Unajua vipi gharama lake ? Niambie mkuu, ingekuwa suluhisho kwa watu wengi. Halafu ni nzuri, unafikiri nini ?Hizo hazina gharama sana!
Unapenda ? Njoo tujenge๐๐ ni sh ngapi mkuu! Nijenge hata 3 faster๐
Jengo la mtindo huo huitwa "Town House" na gharam yake ni sawa na nyumba ya ghorofa, on mfano hapa chibni. ๐
View attachment 1875026
Ukadiriaji wa gharama unaanzia kwenye 'plan' sio ' appearance'
Ujengaji wake unawezekana.Ukadiriaji wa gharama unaanzia kwenye 'plan' sio ' appearance'
Hiyo ni ngumu kukadiria gharama kwa sababu hatujui 'elements' zake kama nguzo na nyinginezo zikoje.
Ujengaji wake unawezekana.
Ila kwenye suala la makadirio ya gharama ni ngumu pasipo michoro
Ukinipa picha ya muonekano wa pande zote.Wewe ungeweza kufanya plan yake, kama mimi ninakupa size ya each room, na picha ya muonekano ningetaka ?