Nani anajua kuhusu Jamhuri ya Watu wa Stanza?

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Wakuu kuna nchi mpya inaitwa Jamhuri ya Watu wa Stanza ama kwa kingereza inatambulika kama The People's Republic of Stanza.

Hii nchi inadai ikulu yake iko sehemu inaitwa Peron na Rais wa Jamhuri hii ya Stanza kila mara amekuwa akifanya teuzi mbali mbali kwa ajili ya uendeshaji wa Serikali yake.

Nimejarubu ku-bing na ku-duck duck go na ku-google ila sijapata taarifa za kutosha kuhusu Jamhuri hii. Naomba mwenye kufahamu zaidi kuhusu hii nchi atueleze. Iko bara lipi na kama inatambulika huko UN.


Bendera ya Jamhuri ya Watu wa Stanza.


Moja wapo ya teuzi alizofanya Rais wa Jamhuri wa Stanza leo August 14, 2024.
 
Tanganyika mpya bila zenji inakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…