Nani anajua kuhusu Jamhuri ya Watu wa Stanza?

Stanza wapo vyedi sana kwenye uzombinyundo
 
Hatimaye nimeteuliwa kuwa kiongozi wa machinga Jamhuri ya Stanza.
 
+259Zanzibar (this code is assigned in E.163, but use Tanzania, 25554
 
Mmhh nilipoona hilo jina Wiliam Charles Mapesa nikajua tu hii ni code, maana former director wa hiyo taasisi tajwa alikuwa ni Wilson Mahera Charles, anyway kwingine mmejitahidi kuficha ila kwingine ni rahisi mtu kufungua code mfano ni hiyo picha ya rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…